13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

122mambo yote yawe sawa.Com. Swazuri: Salim Chapu. Endelea.Mr. Chapu: Makamishina, mabibi na mabwana salaam aleikum. Kwa majina yangu naitwa Salim Salim Chapu. Maoni yangunataka era ya Majimbo na bila kuficha Majimbo ndio kila kitu. Hakuna haja ya kutangatanga mnakuja mnasema mambo mengibure. Tukishapata Majimbo, ardhi zote zitarudi kwetu, kazi zote zitarudi kwetu kwa sababu Majimbo maana yake, ni wenyewetujitawale, wenyewe tumiliki kila kitu. Kwa hivyo kazi kwanza zote zetu. Mapato yote ya jimbo letu tunapata asilimia sabini natano zote ni zetu automatic ya umajimbo. Ishirini na tano, serikali kuu hakuna shida.Sehemu yangu si bado iko. Na kukiwa Majimbo na ndio tuyatakayo na yawe hospitali zote za serikali ziwe bure, chakula chotemadukani kisimamiwe na serikali za mikoa, ama serikali za Majimbo, maji ya mfereji kila jimbo lisambaze kwa kila mwananchibure, stima zisambazwe kwa kila mwananchi bure na mila yote ya mijikenda kwa mfano kama vile kupelekana viaponi, hiyokwa jimbo la Pwanisiwezi sema Majimbo mengine lakini jimbo letu la Pwanimila kama hiyo iwekwe ni sheria.Elimu ya msingi kutoka nursery mpaka darasa la nane iwe bure na tukirudi kwa ardhi kusisitiza yakiwa Majimbo kuanziamwaka tuliopata uhuru hadi leo. Ardhi zote ambazo zilipatiwa wageni ama wabara bila mapenzi ya wenyeji wa pwani, zotewarudishiwe wenyewe wenyeji bila vikwazo vyovyote. Mfano kama vile Zimbabwe wazungu wanaondolewa na Zimbabwewenyewe na wame-develop hayo mashamba bila malipo yoyote kwa hivyo vile vile wabara wamenufaika huko Pwanina ardhizetu Majimbo yakishaingia ardhi zote zirudi kwa Wapwanibila vikwazo vyovyote. Kwa hayo machache Asante.Com. Swazuri: Asante sana. Sasa ni bwana Baguani Juma.Mr. Baguani: Asante sana. makamishina, mabibi na mabwana salaam aleikum. Kwa majina naitwa Baguani Juma. Kazi yanguninayofanya ninasafiri na meli. Maoni yangu mimi Baguani ningependa katika nchi ya kenya Rais mamlaka yake yapunguzwe.Rais asiwaajiri wakuu wa mapolisi, Rais asiwaajiri majaji wakuu. Na wengine walio na vyeo vya juu. Kwa sababu hiyo ndiyoambayo imechangia ufisadi ukazidi katika hii nchi. Kwa mfumo ambao naona ungeleta amani katika nchi ya kenya ni Majimbo.Na kiupande wangu nasema Majimbo si yale ya kuwafukuza watu bali ni Majimbo ambayo mambo mengi katika mkoa,wenyeji watamiliki.Sikusema eti mtu kutoka bara atafukuzwa. Ikiwa kwa mfano niliuza shamba yangu nimemuuzia mtu, nikimpokonya nitakuwanimemdhulumu. Shamba yangu lima, ni yako sasa lakini hii ni Majimbo mamlaka ya wilaya iongezwe. Elimu kutoka class chanursery mpaka class cha nane ikiwezekana iwe bure kwa sababu wengi wasio na uwezo wanakosa elimu.Upande mwingine, serikali ambayo itakuja itatawala hapa kenya. Ichukue dhamani ya mwanadamu iwe juu kuliko ya mnyama.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!