122mambo yote yawe sawa.Com. Swazuri: Salim Chapu. Endelea.Mr. Chapu: Makamishina, mabibi na mabwana salaam aleikum. Kwa majina yangu naitwa Salim Salim Chapu. Maoni yangunataka era ya Majimbo na bila kuficha Majimbo ndio kila kitu. Hakuna haja ya kutangatanga mnakuja mnasema mambo mengibure. Tukishapata Majimbo, ardhi zote zitarudi kwetu, kazi zote zitarudi kwetu kwa sababu Majimbo maana yake, ni wenyewetujitawale, wenyewe tumiliki kila kitu. Kwa hivyo kazi kwanza zote zetu. Mapato yote ya jimbo letu tunapata asilimia sabini natano zote ni zetu automatic ya umajimbo. Ishirini na tano, serikali kuu hakuna shida.Sehemu yangu si bado iko. Na kukiwa Majimbo na ndio tuyatakayo na yawe hospitali zote za serikali ziwe bure, chakula chotemadukani kisimamiwe na serikali za mikoa, ama serikali za Majimbo, maji ya mfereji kila jimbo lisambaze kwa kila mwananchibure, stima zisambazwe kwa kila mwananchi bure na mila yote ya mijikenda kwa mfano kama vile kupelekana viaponi, hiyokwa jimbo la Pwanisiwezi sema Majimbo mengine lakini jimbo letu la Pwanimila kama hiyo iwekwe ni sheria.Elimu ya msingi kutoka nursery mpaka darasa la nane iwe bure na tukirudi kwa ardhi kusisitiza yakiwa Majimbo kuanziamwaka tuliopata uhuru hadi leo. Ardhi zote ambazo zilipatiwa wageni ama wabara bila mapenzi ya wenyeji wa pwani, zotewarudishiwe wenyewe wenyeji bila vikwazo vyovyote. Mfano kama vile Zimbabwe wazungu wanaondolewa na Zimbabwewenyewe na wame-develop hayo mashamba bila malipo yoyote kwa hivyo vile vile wabara wamenufaika huko Pwanina ardhizetu Majimbo yakishaingia ardhi zote zirudi kwa Wapwanibila vikwazo vyovyote. Kwa hayo machache Asante.Com. Swazuri: Asante sana. Sasa ni bwana Baguani Juma.Mr. Baguani: Asante sana. makamishina, mabibi na mabwana salaam aleikum. Kwa majina naitwa Baguani Juma. Kazi yanguninayofanya ninasafiri na meli. Maoni yangu mimi Baguani ningependa katika nchi ya kenya Rais mamlaka yake yapunguzwe.Rais asiwaajiri wakuu wa mapolisi, Rais asiwaajiri majaji wakuu. Na wengine walio na vyeo vya juu. Kwa sababu hiyo ndiyoambayo imechangia ufisadi ukazidi katika hii nchi. Kwa mfumo ambao naona ungeleta amani katika nchi ya kenya ni Majimbo.Na kiupande wangu nasema Majimbo si yale ya kuwafukuza watu bali ni Majimbo ambayo mambo mengi katika mkoa,wenyeji watamiliki.Sikusema eti mtu kutoka bara atafukuzwa. Ikiwa kwa mfano niliuza shamba yangu nimemuuzia mtu, nikimpokonya nitakuwanimemdhulumu. Shamba yangu lima, ni yako sasa lakini hii ni Majimbo mamlaka ya wilaya iongezwe. Elimu kutoka class chanursery mpaka class cha nane ikiwezekana iwe bure kwa sababu wengi wasio na uwezo wanakosa elimu.Upande mwingine, serikali ambayo itakuja itatawala hapa kenya. Ichukue dhamani ya mwanadamu iwe juu kuliko ya mnyama.
123Kwa sababu nikisema hivyo, hapa hapa tulipo, tunaishi na tunaishi na wanyama kama ndovu, na vile tunavyojua hapa kwetuakiua mwanadamu watakuja watu wa wizara ya wanyama watatu wanne na landrover yao moja. Lakini ndovu wakifa, hata DChakai hapa. mtu akiuawa na ndovu alipwe pesa za kutosha, sio shillingi elfu thelathini kama ambaye ni mtu amekatwa kidole.Com. Swazuri: Alipwe pesa ngapi?Mr. Baguani: Milioni tatu. Na ikiwa ndovu hao hao wameharibu mashamba ya watu moja kwa moja ripoti hii ikipelekwa,utaratibu uchukuliwe na mwenye aliyeharibiwa mimea yake alipwe kwa sababu watu huwa wanapata taabu, ametegemeashamba na limechafuliwa na ndovu, hana chakula, hajui atapata wapi uniform ya watoto wala si ya watoto, sasa yeye ni mtuanakuwa anadhulumika. Ingine, Majimbo yakija na ikiwa mamlaka ni ya kimajimbo urongo, mambo mengine yatafanyikakirahisi maanake hapa kwetu Pwanimkoa ni mkubwa kutoka kizingitini mpaka lamu, kutoa mombasa mpaka taita. Ni njiachache sana ambazo zinapitika. Barabara hakuna na ukweli ni kwamba hata sasa kuna hospitali nyingine mtu akipata faradhiamekufa, inabidi mtu yule achukuliwe na baiskeli apelekwe mahali atakapokwenda zikwa.Ni jambo la kusikitisha sana kuona tangu uhuru mpaka sasa kuna sehemu nyingi hazifikiki. Ingine tena katika mkoa kwa mfanomkoa wetu wa Pwanitunashangazwa na kitu kimoja sisi, maji mengi yanayotoka sehemu za mlima, maji mengi yanayotoka hapahapa kwale yanapitishwa chini kwa chini mpaka Mombasa na katikati hii kuna wadigo na waduruma pamoja na ndugu zao wakikamba ambao ni wa hapa hapa Pwaniwanakosa maji. Ni jambo la kusikitisha, lakini ikiwa umekuwa ni utawala wa kimajimbourongo sehemu nyingine zitatengenezeka, hata ijapo inchi yetu imekuwa dhaifu, imekuwa na ufisadi mwingi lakini sidhani kamamtu anaweza kukoka moto na akajichoma mwenyewe. Mengine nitasema wakati mwingine asanteni.Com. Swazuri: Asante sana. Sasa tuna Hassan Haji Masa.Mr. Hassan: Asante sana makamishina wote wawili na wageni waliofika. Mimi sina maneno mengi sana mengiyamezungumzwa. Jina langu naitwa Hassan Haji Masa. Kwa sababu mengi yamezungumzwa, mimi nitazungumza kama matatuhivi. Na ni kuongezea tu lakini yameshazungumzwa. Kwanza ni upande wa utawala. Mfumo wa serikali. Serikali ninayohitajimimi katika mawazo yangu ni Majimbo. Majimbo maana ndicho kitu ambacho kitakuwa kitamfanya kila mwananchi ili awezekufaidi katika haya matunda ya uhuru.Kwa upande wa Majimbo, tumezungumza kwamba ma-governor wawe kama vile walivyotajwa kwamba kila jimbo liwe nagovernor, ikiwa Majimbo ni yale manane basi governors wawe wanane basi governors wawe wanane lakini kwa upande waRais ambaye atakuwa katika central government, mimi katika maoni yangu kwa sababu sisi sote ni wananchi wa kenya,Majimbo yote manane ni ya watu wa kenya ili kusiwe na wasiwasi na ikiwa tunapendana kwa kweli kabisa tuwe katika kilecheo cha uRais, kiwe kinaweza kuzunguka kwa Majimbo yote.
- Page 45:
VERBATIM REPORT OF45
- Page 50 and 51:
50ONMAY 3, 2002.CONSTITUENCY PUBLIC
- Page 52 and 53:
52watu wenyewe walio na jimbo mapat
- Page 54 and 55:
54kinyume cha yule aliyemchagua. Un
- Page 56 and 57:
56machache asante sana.Com. Swazuri
- Page 58 and 59:
58Com. Swazuri: Andika jina lako pa
- Page 60 and 61:
60kuna uwezekano kuwa mwananchi yul
- Page 62 and 63:
62ardhi kwani hakuna mtu yeyote amb
- Page 64 and 65:
64kuu zetu watu wetu waende nyumban
- Page 66 and 67:
66imekuwa na shida zile tuko nazo k
- Page 68 and 69:
68Kwanza langu mimi nitazungumzia k
- Page 70 and 71:
70chama ambacho hakijasajiliwa keny
- Page 72 and 73: 72yawafikie wenyewe.Bahari- bwana S
- Page 74 and 75: 74Serikali iwe na makao ya wazee ma
- Page 76 and 77: 76Mrs. Juma: Bwana kamishina, Bi. K
- Page 78 and 79: 78Mr. Salim: Bwana kamishina, akina
- Page 80 and 81: 8090 and 120 kwa sababu nasema hivi
- Page 82 and 83: 82Heri, mkenya kutoka mkoa wa Pwani
- Page 84 and 85: 84Mr. Daima: Itapata the same testi
- Page 86 and 87: 86Kama ilivyo desturi ya serikali y
- Page 88 and 89: 88me understand this. ‘Mr. Ali: A
- Page 90 and 91: 90Serikali- tumesema twataka serika
- Page 92 and 93: 92uhuru.Com. Baraza: Na kama ni ser
- Page 94 and 95: 94I say, the constitution of kenya
- Page 96 and 97: 96Sisi vina, sauti ya umma tunacho
- Page 98 and 99: 98Com. Swazuri: Asante sana, nenda
- Page 100 and 101: 100elimu ya kutosha. Kwa hivyo ni l
- Page 102 and 103: 102na anakosa kunufaika na ile ardh
- Page 104 and 105: 104village anamshinda mBunge, chair
- Page 106 and 107: 106Katika hizi uongozi iwe vile vil
- Page 108 and 109: 108Mrs. Mwanakombo: Hata kama anaju
- Page 110 and 111: 110Mr. Mwakungu: Hatuwezi kuuza kwa
- Page 112 and 113: 112issue kama ya national identity
- Page 114 and 115: 114kwa vile mimi ni mama, watoto pi
- Page 116 and 117: 116Tunataka katika Katiba hii mpya,
- Page 118 and 119: 118industry yoyote. Kwa hivyo all f
- Page 120 and 121: 120ambazo zilikuwa bado ni trust, w
- Page 124 and 125: 124Ikiwa wa hamu moja ni kama miaka
- Page 126 and 127: 126Makamishina hili jambo liwekwe k
- Page 128 and 129: 128wakati mmoja kwa sababu itakuwa
- Page 130: 130mtu. Lakini waislamu yetu ni Iju