13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

125Mr. Hassan: Okey, basi nimesema hivi kwamba elimu iwe bure, na afya bure na waBunge wawe wanachaguliwa na watuwote katika hapa kenya. Na kura zikipigwa ziwe zinapigwa na msomi na hata ambaye hakusoma lakini ikifika wakati wa ikiwaameshapata huwa serikali inachagua ambao waliosoma peke yao, waliokosa kusoma hawatambuliwi kidogo. Kwa hivyonaomba Majimbo, ile serikali ya Majimbo ikiwako, iwe watu hawa wote wanatambuliwa kisawasawa kwa sababu hawa woteni watu wa kenya. Asante.Com. Swazuri: Eddie Mwakaba. Dakika tano tafadhali na uwe focused.Mr. Mwakaba: Nashukuru kwa Commissioners na wasikilizaji wenzangu ambao mmekuwa pamoja nami. Point yangu yakwanza na maoni yangu naonelea kwamba upande wa elimu ningeonelea elimu iliyokuwa ya zamani ile ya 7-4-2 halafu miakanne hiyo ndiyo iliyokuwa elimu yenye heshima. Oni lingine la pili naonelea ya kwamba yeyote mfanyi kazi ambaye ni wa serikalikatika nchi yetu ama katika sheria tunazoziunda, mtu yeyote atakayepatikana ame-mess up with the government funds, yule mtuachukuliwe sheria sawa sawa kama inavyotakikana. Si kama vile ilivyo wakati huu tunakuwa tunaimba corruption halafu mtuana-collect milioni moja anapelekwa mahali pengine pia anaenda na kuendelea na kumaliza zaidi ile alikuwa amebakishia.Kwa hivyo afungwe sawasawa kabisa na ikiwezekana hiyo pesa inyakuliwe ile yenye alikuwa amenyang’anya watu. Point no. 3majimbo kwa upande ya serikali ni sawa nakubali hayo kwa upande wangu ili pesa yote ifike kila mahali katika sehemu za nchiigawanywe sawa sawa ili iweze kufikia kila mmoja mahali alipo katika nchi hii yetu tuliyonayo.Upande wa utawala maombi yangu ni kwamba upande wa chief and sub-chief tulio nayo, ningeonelea kwamba ni vizuriwangeliweza kuwa within the division ile ambayo ma-subchief huwa wangelikuwa waki-rotate ama kufanya transfer. There canhave transfer within the division ile ambao wako wanatawala. Pia kwa upande wa sub-chief, ni ombi langu ya kwambaningeonelea ni vizuri kuwa wangeweza kuwa wameajiriwa kupitia wako elected na watu wenyewe. Wamechaguliwa na watuwenyewe ili wakitumia ofisi vibaya pia wananchi wana mamlaka ya kusimamisha na kusema tunataka mwingine lakini sasatukiandikiwa tunangoja retire ama kifo na hapo tunaumia sana maana hafi haraka na anatuumiza. Hatuiti mikutano natunaendelea. Kwa hivyo hapo tunaumia sana.Lile lingine ni kana kwamba katika ulimwengu wa leo, mtu anatoka shule leo anaandikwa miaka mitatu, tayari millionaire. Hiyondio tunasema, tunauliza ya kwamba serikali ijayo kuwe na accountability vile mtu angeweza kuthihirisha mapato yake vileamepata hiyo pesa tayari anunue ndege baada ya mwaka moja. Kwa hivyo awe akichunguzwa, tuseme uchunguzi wa vileanapata mali yake yule mtu. Hiyo ndiyo ambayo ile tunaita kuchunguza mali yake. nafikiri hizo mmezipata hizo ni points, naendasasa kwa kiwango cha points zile nimeandika na wameniambia ile nyingine ni ombi langu la kwamba waBunge tunaowachagua,ule mshahara hujawahi kupatikana ulimwengu huu ni mkubwa zaidi.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!