13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

77ningependekeza kuhusu uchumi. Ningependekeza serikali itujengee shule ya utalii huku kwetu pwani. Wafanyi kazi wote waweasilimia ya tisini na tano ya watu wa pwani, asilimia tano iwe watu wa bara.Mahoteli yetu tuliofanya ama yaliyojengwa huku Pwani asilimia kubwa ni ya watu wa nje lakini asilimia ndogo ni ya watu wapwani. Sasa ningependekeza asilimia ya sabini na tano iwe watu wa pwani, asilimia ishirini na tano iwe watu wa bara.Com. Baraza: Owners or workers?Mrs. Mwaviriko: Workers.Com. Baraza: Na hoteli yenyewe 75% iwe ya watu wa bara au?Mrs. Mwaviriko: Hata hiyo hoteli yenyewe yaani. Wawa washirika sasa na watu wa Pwanikuanzia wakubwa. Kuhusu elimuningependekeza kuwa elimu iwe ya bure kuanzia nursery hadi form four. Mzazi awe na gharama ya kununua form na mahitaji yamtoto lakini sio elimu. Form four, kuanzia nursery mpaka form four. Mzazi awe na gharama ya school uniform na mahitaji yamtoto.Hospitali zetu hizi. Huduma zimekuwa ndogo kwa sababu ya kuwa hatuna uwezo. Wengi wanaumia kwa magonjwa kwasababu ya kuwa mfuko ndio kidogo, pengine hana uwezo wa kutosha kwa kuwa atajihudumia ugonjwa alio nao. Hapo hapopia ningependekeza, kuwe na madaktari wanawake special wa kuzalisha kina mama. Sio mwanamke azalishwe na bwana.Wanawake wawe na mamlaka sawa na wanaume. Panapokuwa na mume ambaye ni kiongozi chini yake awe ni mwanamke.Kuhusu ndoa zetu- kina mama tunateseka sana kuhusu ndoa zetu kwa sababu kina baba hawataki kutuoa. That is whytunakosa ule uridhi wa kutosha kwa sababu ya kuwa bwana hakukuoa. Pengine ulimwambia akuoe lakini akakataa. Akasemanitakuoa lakini mbeleni amepata mrembo zaidi ya wewe. Maoni yangu ningependekeza vipi? Baada ya kuishi na baba ama nakaka mama huyo baada ya miezi mitatu ikiwa hatataka kukuoa baada ya miezi mitatu kuwe kuna koti ama Kadhi ambayeutaenda kumshtaki. Either akuoe baada ya miezi mitatu ama akuache mwaachana.Na pia ningependa mwanaraia wa kenya atambulike either ni mlemavu ama yuko sawasawa maanake hata mlemavu pia naye niraia wa kenya. Wawe na vyeo vyao ama skuli zao za bure. Upande wa wazee ningependekeza vipi, wazee basi afanya kazi,hakufanya kazi awe retired, haku-retire lakini kufikia miaka hamsini, awe ana malipo kiasi fulani ambayo serikali itapendekeza.Asanteni.Com. Swazuri: Salim Mwalaulo. Haraka haraka.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!