13.07.2015 Views

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

KERE02-073 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

96Sisi vina, sauti ya umma tunacho kifungu cha sheria ya kuondoa umaskini kwa wananchi. sababu nyingine ni uchaguzi wamadiwani wa Bunge, uRais, kutoa pesa nyingi kwa wananchi ili wapigiwe kura.Moja, kati ya wao na aliyeshinda anasema hakufanya race. Mwisho matokeo ni vita vya kikatili kuuana wao kwa wao. Sisitukikubaliwa na serikali ya sauti ya umma hakuna utoaji wa makundi ya pesa kwa wananchi ambaye atachaguliwa kama diwani,Bunge ama Rais ila atachaguliwa atajichagua mwenyewe, yaani self- elections baada ya kupitishwa wazi na baraza ya ummakatika location yake.Usifanye shaka serikali ya sauti ya umma italinda kila mwananchi haki zake, mali zake na maisha yake. Hiyo ni fupi tu. Mimi ninaKatiba hapa nataka kukupa lakini neno moja tu nauliza baada niondoke. Sasa hii Katiba sisi hatujafanya mabaraza kutosha nawananchi. Tunatoa hizi Katiba kwa ma-group ama vipande vipande na hiyo haifai. Tunataka tujue sauti za wananchi wanatakanini ama sivyo. Sisi hapa nauliza wale ambao wanataka kutawaliwa mpaka maisha ya kiama wainyoshe mikono juu. Na waleambao wanataka tujitawale sisi wenyewe nasi tuwe wa bwana mkono juu.Com. Swazuri: Asante sana. Said.Mr. Said: Waheshimiwa Commissioners, waheshimiwa ndugu zangu, salaam aleikum. Ni furaha kubwa sana kutafakarimakosa yetu kama wakenya, kupitia kwa Katiba na kukubaliana kwamba kupitia kwa Katiba tunaweza kurekebisha. Miminaitwa Omar Changoma, senior chief Mwaluvanga location.Oni langu la kwanza ni kuhusu ardhi na nasema ya kwamba maswala yote ya ardhi, ikiwa ardhi ni chombo muhimu sana.Yatatuliwe na yaishie kwa ngazi ya kata. Cheo cha Commissioner of lands hakina maana, is irrelevant to land issue. Kwa hivyokama tunataka kujirekebisha kweli maswala yote ya ardhi yaishie kwa ngazi ya kata that is a location. Labda kwadocumentation inaweza kufanyiwa kwa wilaya. Kuhusu mambo ya serikali, mfumo nawaunga mkono wenzangu wanaosemamfumo wa Majimbo na ikiwa ni hivyo basi tunasema kila jimbo liwe na governor ambaye hatakuwa na chama chochote chakisiasa.Pwani ikiwa kutakuwa na vyama tutakosa governors wazuri wale ambao labda niwachia hawana pesa, wazungumzaji hawanamali. Kwa hivyo awe ni mtu ambaye hafungamani na chama chochote, hata naibu wake kama iko iwe namna hiyo. Huyoapiganie u-governor katika kila jimbo.Kwa central government, president na vice wake pia wawe wenye watu ambao hawana vyama. Napendekeza pia waziri mkuuawe hana chama chochote anachowakilisha. Maoni yangu tu. Nikienda mbele kwa upande wa akina mama, najua wazee sanandio wamebarikiwa sana kuwa na mali nyingi kushinda akina mama. Kwa hivyo nasema habari ya nomination iendelee lakiniiendelee tu kwa akina mama. Kuwe na nominated councilors wa akina mama na kuwe na nominated MPs wa akina mama.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!