14.02.2018 Views

vipaji_pages1-100

hugggugu

hugggugu

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

alicho nacho atanyang’anywa.” (Mat. 25:24-29)<br />

Katika maandiko haya tunasoma maneno haya “… Wewe<br />

mtumwa mbaya na mlegevu.” Unaona? Anatajwa moja kwa<br />

moja ya kuwa kilichomfanya akashindwa kutumia kipaji chake ni<br />

ulegevu wake mwenyewe na madhara yake ni kunyang’anywa<br />

hata hicho alichokuwa nacho.<br />

Tabia Sugu Ya Ulevi Na Madawa Ya Kulevya<br />

Miaka 3,000 iliyopita kabla ya elimu ya sayansi kuwepo,<br />

manabii walitoa maonyo kuhusu matumizi ya pombe wakisema<br />

athari zake ni pamoja na kuharibu fahamu za wanadamu:<br />

“Uzinzi na divai mpya huondoa fahamu za wanadamu.”<br />

(Hos. 4:11)<br />

Maandiko haya yanathibitisha kwamba pombe ina athari<br />

kubwa kwa kipaji cha binadamu kwa kuwa inadhoofisha uwezo<br />

wa kufikiri. Kwa mantiki hii divai mpya inajumuisha kila kitu<br />

kinacholewesha ikiwemo uvutaji wa bangi; matumizi ya dawa za<br />

kulevya unaojumuisha unga wa kubugia, kunusa, au uchomaji<br />

sindano.<br />

Maandiko matakatifu, kama jina lake lilivyo, yameandika<br />

waziwazi ya kwamba ndani ya pombe mna sumu inayoharibu<br />

tabia ya mtu na kumwondolea ubinadamu wake na kufanya awe<br />

kama hayawani:<br />

“Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali<br />

mjazwe Roho.” (Efe.5:18)<br />

Neno “ufisadi” katika maandiko haya linamaanisha “uchafu<br />

uliokithiri”. Huu si uchafu wa mwili bali vitendo haramu visivyo vya<br />

kimaadili. Ndiyo maana nimeorodhesha ulevi kuwa ni “tabia sugu”<br />

inayoharibu utendaji wa <strong>vipaji</strong> ndani ya binadamu.<br />

66

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!