JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
nimankena ey kalathambeya sithontawa xata an istagi karno lakin wa in ana sharciga muslimka an kukalarhambeyno, lakin xaq<br />
wan sogalikarna.<br />
Translator: Anasema sisi ingawa tunafuata sheria yetu ya kislamu katika sheria ya Kiislamu lazima mwamamume ndio<br />
anakuwa supreme mwamamke anafuata lakini hiyo siyo kusema hata mwanamke abaki nyuma lakini lazima tufuate kimila yetu<br />
ya kislamu.<br />
Honey Hassan: Mita kaley waxa wayey gebdaxa somalitha oo shaqatha Prison ta laqorayo der gawan ayey xirtan waxan<br />
rabna in dar der der in loxiro an rabna.<br />
Translator: Amesema ameona hawa wanawake ambao wanafanya kazi ya GK prison guards askari ya Wasomali na ni<br />
wanawake wanavaa nguo mfupi. Hiyo nguo mfupi wanawake wanavaa nasema hatutaki lazima wavae nguo mrefu ya Kiislamu<br />
ambayo inakuwa uniform yao iwe hivyo.<br />
Honey Hassan: Mitha kaley waxa wayey gebdaxa bananka intilaiskaxagayo oo ninki xogo laleye kienyeji an kudameyneyna<br />
maogalaneyno. Ninka wa in maxkamatha muslimka lakeno oo markas ayatha eh in mesha laguthila.<br />
Translator: Anasema mambo mingi mambo ya rape sana sana mambo ikiwa rape watu nakuja kotini police nasema<br />
tumemaliza kienyeji. Wazee nachukua hii mambo hatutaki na lazima ipelekwe kwa mahakama ya Muislamu ambayo<br />
inaadhibisha vizuri sana.<br />
Honey Hassan:<br />
Translator: Anasema sisi kama North Eastern province kulingana na Kenya ingine tumebaki nyuma na lazima share yetu<br />
katika North Eastern province lazima tupatiwe sawa na maprovince zingine ya Kenya.<br />
Honey Hassan: Dhowlada waxey dibketha taxay anaga waxa nalagushegaya Kenya lakin wixi sobaxo nomasiso sithi xaq axan<br />
anaga North Eastern waxan rabna in ey naraxgaliso oo ey nasiso waxi sobaxo ey nasiso.<br />
Translator: Anasema kwanza anataka kujua nafazi hii watu napitisha sheria macommissioners nauliza kuna watu wa North<br />
Eastern province ndani?<br />
Honey Hassan: Mita anaxatha an kaxathlayo wa sharcigan xatha labathalayo rer North Eastern in ey kujiran iyo in kaley<br />
maogno lakin wa in an ogana ni warkena u run naqonayo iyo in kaley.<br />
Com.Swazuri: Nasema katika commission hii ya sasa tuko na Commissioner Ahmed Isaac Hassan na Commissioner<br />
Abdirasak Arale Nuno hawa wa North Eeastern. Ngoja ngoja nikuambie hawa ni wa North Eastern waislamu wako saba<br />
hawa wawili na mimi na Ibrahim Lethome Abubakar Sein, aa Proffesor Ahmed Salim alafu na Bii Abida Ali.<br />
Honey Hassan: Mitha ikuthambeyso waxa waye waraqtrha dalashatha in melkasta lageyo cala division kastawa lageyo oo<br />
shaqala ey jogan oo thathka xaqotha ey xelan.<br />
Translator: Anasema mambo ya birth certificate ambayo inakuwa centralized katika district headquarters anataka ipelekwe<br />
katika divisions mahali ambae karibu na wanainchi na kila mtu apate mabarua huduma huko kwake karibu.<br />
Honey Hassan: North Eastern wa iney xaqetha xesha ya kwaheri.<br />
Translator: Ya mwisho naomba North Eastern province apate apate haki yake ipate haki yake.<br />
Com.Swazuri: Mwingine ni Mohammed Okash, Mohammed Okash.<br />
Mohammed Okash: Commissioners wanainchi kwa jumla Asalaam aleikum. Aa kuanzisha maneno yangu kwanza<br />
12