15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Ningependa ya kwamba serikali itilie maanani iwekwe kwa katiba iletwe magari ambayo sinaweza kutumiwa kwa walemavu,<br />

free duty na say motobike ili waokote kwa njia iliyo rahisi iwekwe kwa katiba.<br />

Translator: Waxan rabna gawarithin curuyanka logutalagaley maqabno aniga xata waxan kaxeley melkaley marka waxa rabna<br />

dhowlada Kenya in curiyanta bikibiki ey kusocthan nalokeno on nalailaliyo.<br />

Hussein Bary: Ambayo zinauzwa kwa bei ya Japan ndio mimi nataka.<br />

Translator:<br />

Hussein Bary: Ya mwisho ningependa ya kwamba hii maneno ambayo sasa ilikuwa umenifunga mdomo ningependa mtilie<br />

maanani mchukue picha ya kipande yangu ya kazi sijarudisha mbaka wakati huu unaskia ndugu yangu. Mimi nilikuwa mtumishi<br />

wa umma nilikua dereva mpaka wa sasa serikali haijui pahali niliko hata hawajui kama nimekufa kwahivo ningependa serikali<br />

itilie maanani watu wake ambao wanaumia ovyo ovyo ambao hawapati kitu chochote kulingana na sheria mimi ningepatiwa<br />

mshahara mpaka nifariki, naninge pata haki yangu kwa hivyo ninaona hakuna katiba ambayo inaendelea ee ya mbeleni ilikuwa<br />

hakuna kitu chochote ambayo ilikuwa inatendeka.<br />

Translator: Waxan raba in aniga xaqeiga laisoyo maathama an in tas dhowlada an ushaqeinayeye oo dhadka aniga ilamit eh na<br />

in xaqotha lasiyo ayan rabna.<br />

Hussein Bary: Kwahivyo ninge omba Bwana commissoner msituharakishe kwa vile leo mnasema ni siku ya mwisho kupeana<br />

maoni na ni siku muhimu ukituharakisha sa hii tusipotoa maoni yetu tutatoa wakati gani.na katiba ambayo inapitishwa<br />

Com.Swazuri: Hiyo inatosha mzee, inatosha hiyo kadi yako utampatia Hassan halafu tutawafuatiliya hiyo kesi yako. ni sawa.<br />

Hussein Bary: Nitampata achukue.<br />

Com. Swazuri: ni sawa ,ni sawa.Okey tunasema sawa tumeskia na utampatia details atatuletea tutafuatilia kezi yako, sawa.<br />

Sababu ya kuharakisha kwamba tunaharakisha tunataka kila mtu aliye hapa atoe maoni yake. Haya basi inatosha, haya Abdia<br />

Musa, tuwe na order tafadhali ee. Abdia Musa ,Abdia Musa. Patia microphone kwa Abdia Musa hapo. Yes we are using one<br />

male and female, male and female Abdia Musa hajatoa memorandum haya sawa no she doesnt want to speak. Then<br />

Abdikadel Adam order please Abdikadel order Adam no the register is there oh Hassan has gone with it. Abdikadel Adam<br />

ndiyo huyo haya order order please tusikise tusikise<br />

Abdikadir Adam: Haya sawa sawa asante sana commissioners nawashukuru ile constitution tutahitaji ni ile ambayo inawesa<br />

kucreate bargaining relationship between the citizens and the ruling class, ni ile ambayo inaweza kupata uwezo kwa watu ili<br />

waamue mambo zao. Ile tunahitaji ni ile inaweza kugarantee freedom of speech association and choice. Ni ile katiba ambayo<br />

inaweza kuhakikisha watu wanaweza kutoa maoni yao , wanaweza kuwa na association na wanaweza kuwa na choice ile<br />

ambayo inaweza kurecognize traditional norms ,values and cultural diversities within Kenya. Constitution tunahitaji ni ile<br />

ambayo inaweza kudeal na mambo ya economic mismanagement katika Kenya na ile katiba katiba ya Kenya sharti iwe<br />

supreme kuliko institution zozote katika Kenya. Parliament should not change any part of the constitution of Kenya.<br />

Translator: Waxu yixry waxan rabna in sharciga cusub unoctho sharci an labathalikarin oo qofka kasta aqtiyar sinayo in<br />

nalosameyo ayan rabna.<br />

Abdikatel Adam: The constitution should be surveying parliament should not have powers to change it kama ni kubadilisha<br />

katiba sharti iwe na referendum ya wananchi na wale ambao watasimamia hiyo memorandum ni special commission ambaye<br />

9

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!