JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Ningependa ya kwamba serikali itilie maanani iwekwe kwa katiba iletwe magari ambayo sinaweza kutumiwa kwa walemavu,<br />
free duty na say motobike ili waokote kwa njia iliyo rahisi iwekwe kwa katiba.<br />
Translator: Waxan rabna gawarithin curuyanka logutalagaley maqabno aniga xata waxan kaxeley melkaley marka waxa rabna<br />
dhowlada Kenya in curiyanta bikibiki ey kusocthan nalokeno on nalailaliyo.<br />
Hussein Bary: Ambayo zinauzwa kwa bei ya Japan ndio mimi nataka.<br />
Translator:<br />
Hussein Bary: Ya mwisho ningependa ya kwamba hii maneno ambayo sasa ilikuwa umenifunga mdomo ningependa mtilie<br />
maanani mchukue picha ya kipande yangu ya kazi sijarudisha mbaka wakati huu unaskia ndugu yangu. Mimi nilikuwa mtumishi<br />
wa umma nilikua dereva mpaka wa sasa serikali haijui pahali niliko hata hawajui kama nimekufa kwahivo ningependa serikali<br />
itilie maanani watu wake ambao wanaumia ovyo ovyo ambao hawapati kitu chochote kulingana na sheria mimi ningepatiwa<br />
mshahara mpaka nifariki, naninge pata haki yangu kwa hivyo ninaona hakuna katiba ambayo inaendelea ee ya mbeleni ilikuwa<br />
hakuna kitu chochote ambayo ilikuwa inatendeka.<br />
Translator: Waxan raba in aniga xaqeiga laisoyo maathama an in tas dhowlada an ushaqeinayeye oo dhadka aniga ilamit eh na<br />
in xaqotha lasiyo ayan rabna.<br />
Hussein Bary: Kwahivyo ninge omba Bwana commissoner msituharakishe kwa vile leo mnasema ni siku ya mwisho kupeana<br />
maoni na ni siku muhimu ukituharakisha sa hii tusipotoa maoni yetu tutatoa wakati gani.na katiba ambayo inapitishwa<br />
Com.Swazuri: Hiyo inatosha mzee, inatosha hiyo kadi yako utampatia Hassan halafu tutawafuatiliya hiyo kesi yako. ni sawa.<br />
Hussein Bary: Nitampata achukue.<br />
Com. Swazuri: ni sawa ,ni sawa.Okey tunasema sawa tumeskia na utampatia details atatuletea tutafuatilia kezi yako, sawa.<br />
Sababu ya kuharakisha kwamba tunaharakisha tunataka kila mtu aliye hapa atoe maoni yake. Haya basi inatosha, haya Abdia<br />
Musa, tuwe na order tafadhali ee. Abdia Musa ,Abdia Musa. Patia microphone kwa Abdia Musa hapo. Yes we are using one<br />
male and female, male and female Abdia Musa hajatoa memorandum haya sawa no she doesnt want to speak. Then<br />
Abdikadel Adam order please Abdikadel order Adam no the register is there oh Hassan has gone with it. Abdikadel Adam<br />
ndiyo huyo haya order order please tusikise tusikise<br />
Abdikadir Adam: Haya sawa sawa asante sana commissioners nawashukuru ile constitution tutahitaji ni ile ambayo inawesa<br />
kucreate bargaining relationship between the citizens and the ruling class, ni ile ambayo inaweza kupata uwezo kwa watu ili<br />
waamue mambo zao. Ile tunahitaji ni ile inaweza kugarantee freedom of speech association and choice. Ni ile katiba ambayo<br />
inaweza kuhakikisha watu wanaweza kutoa maoni yao , wanaweza kuwa na association na wanaweza kuwa na choice ile<br />
ambayo inaweza kurecognize traditional norms ,values and cultural diversities within Kenya. Constitution tunahitaji ni ile<br />
ambayo inaweza kudeal na mambo ya economic mismanagement katika Kenya na ile katiba katiba ya Kenya sharti iwe<br />
supreme kuliko institution zozote katika Kenya. Parliament should not change any part of the constitution of Kenya.<br />
Translator: Waxu yixry waxan rabna in sharciga cusub unoctho sharci an labathalikarin oo qofka kasta aqtiyar sinayo in<br />
nalosameyo ayan rabna.<br />
Abdikatel Adam: The constitution should be surveying parliament should not have powers to change it kama ni kubadilisha<br />
katiba sharti iwe na referendum ya wananchi na wale ambao watasimamia hiyo memorandum ni special commission ambaye<br />
9