15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Ishmael Ahmed: Translator: Garikorome ni wale wenyeji sana sana hasa ambaye walikuwa wanakaa Mandera town hii.<br />

Ishmael Ahmed: Waxan kusacicney memorandum Kenya ana kutharsaney NFD anaga oo Chief kaxeh magalathan<br />

waqtigas.<br />

Translator: Moja yapo kama alikuwa one of the presentive environment representing area hii katika Lancaster house baba<br />

yake alikuwa chief.<br />

Ishmael Ahamed: Waxan naxay dhad Gara ah lakin Gara iskudaxjiro oo thago beraxan ila simankan biyabon ayan<br />

iskalenaxay.<br />

Translator: Anasema ni gani tribe lakini tunaitwa garimaro ambayo tunakaa along the river banks ni farmers sawa sawa.<br />

Ishmael Ahmed: Waxa naxay dhad kisto dhadka kaley ey yasan.<br />

Translator: Na katika society inaonekana sisi tunadharauliwa tunaangaliwa chini kama low minority kama ni low sex.<br />

Ishmael Ahmed: Arintas xathi thib loraco waqtiga ukoloniga ila xata chiefaf anaga aya soaxani jirney ila systemka Moi.<br />

Translator: Na sana, sana ukiangalia zamani sisi ndio tulikuwa chief tulikuwa leaders ya area hii mpaka wakati ya Daniel arap<br />

moi.<br />

Ishmael Ahmed: Xata waxa dacthey in awothi Adminisrationka gacanta ugashey aya nakalafarfardisey oo political uthilacey<br />

oo dhadkeni umelwalba ukalagoay oo manta xal reprsentative an lenaxay.<br />

Translator: Inaonekana kwamba sisi tume watu wengine imeingia boundary administration imeingia power imetoka mikononi<br />

yetu matribes zingine imeingia na sasa sisi inaonekana tumetupwa mbali mbali.<br />

Ishmael Ahmed: Dhad keni wuxu nocthey dhad masakin ah oo representative an laxein.<br />

Ishmael Ahmed Tunataka tutambuliwe na records ya colonial ifuatwe hii community ijulikane kama mwenyeji ya indeginous<br />

ya Mandera na wapate kuwa represented na wapatie minority tribes protection ambayo wakati hii imeingia katika mkono ya<br />

foreigners.<br />

Translator: Wuxu daxay marka anaga in xaqena nalasiyo oo nalaogatho.<br />

Translator: Na ningependa kuongea juu ya body Government. Nasema serikali tunaitaka ni serikali ambayo inaweza tumikia<br />

wanainchi wa Kenya mahali pote wako na nadhamu hiyo kuweza kupatikanwa ni kuweza kupatia ofisi wa sheria independence<br />

bila kuingiliwa na mtu yeyote na power yeyote kutoka rais ama pande yote. Ya pili ningependa kusema police ndio wenye<br />

wachunga sheria ya hiyo inchi na wanachukua mshahara chini sana kama hatutaangalia masilaha yao corruption katika inchi hii<br />

haitamalizika na ningependa katika mkoa hii ya Kazkasini Mashariki hakuna mission school hata moja kwa hivyo serikali<br />

tunaweza kushare nation cake together tuwe tunapata mission school moja katika hii hii North Easten province. Ya mwisho<br />

tunaweza kusukuma mafuta kutoka Mombasa mbaka Eldoret na watu wetu wanakufa na (inaudible)------- maji kwa hivyo<br />

hiyo inaonekana kidogo tumelaliwa zaidi kwahivyo maji iwezwe sukumwa mbaka hapa watu wasipigane na nyani.<br />

Com.Swazuri: Haya, asante sana swali umeshindwa kujibu muko wangapi kabila yenu hiyo kabila yenu unasema lakicha hiyo<br />

kabila yenu mko wangapi hapa Kenya?<br />

Ishamel Ahmed: Tuko nafikiri hapa labda kama watu elfu tatu hivi<br />

Com. Swazuri: Elfu tatu?<br />

Ishmael Ahmed: Hakuna hata chief moja<br />

79

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!