JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Ishmael Ahmed: Translator: Garikorome ni wale wenyeji sana sana hasa ambaye walikuwa wanakaa Mandera town hii.<br />
Ishmael Ahmed: Waxan kusacicney memorandum Kenya ana kutharsaney NFD anaga oo Chief kaxeh magalathan<br />
waqtigas.<br />
Translator: Moja yapo kama alikuwa one of the presentive environment representing area hii katika Lancaster house baba<br />
yake alikuwa chief.<br />
Ishmael Ahamed: Waxan naxay dhad Gara ah lakin Gara iskudaxjiro oo thago beraxan ila simankan biyabon ayan<br />
iskalenaxay.<br />
Translator: Anasema ni gani tribe lakini tunaitwa garimaro ambayo tunakaa along the river banks ni farmers sawa sawa.<br />
Ishmael Ahmed: Waxa naxay dhad kisto dhadka kaley ey yasan.<br />
Translator: Na katika society inaonekana sisi tunadharauliwa tunaangaliwa chini kama low minority kama ni low sex.<br />
Ishmael Ahmed: Arintas xathi thib loraco waqtiga ukoloniga ila xata chiefaf anaga aya soaxani jirney ila systemka Moi.<br />
Translator: Na sana, sana ukiangalia zamani sisi ndio tulikuwa chief tulikuwa leaders ya area hii mpaka wakati ya Daniel arap<br />
moi.<br />
Ishmael Ahmed: Xata waxa dacthey in awothi Adminisrationka gacanta ugashey aya nakalafarfardisey oo political uthilacey<br />
oo dhadkeni umelwalba ukalagoay oo manta xal reprsentative an lenaxay.<br />
Translator: Inaonekana kwamba sisi tume watu wengine imeingia boundary administration imeingia power imetoka mikononi<br />
yetu matribes zingine imeingia na sasa sisi inaonekana tumetupwa mbali mbali.<br />
Ishmael Ahmed: Dhad keni wuxu nocthey dhad masakin ah oo representative an laxein.<br />
Ishmael Ahmed Tunataka tutambuliwe na records ya colonial ifuatwe hii community ijulikane kama mwenyeji ya indeginous<br />
ya Mandera na wapate kuwa represented na wapatie minority tribes protection ambayo wakati hii imeingia katika mkono ya<br />
foreigners.<br />
Translator: Wuxu daxay marka anaga in xaqena nalasiyo oo nalaogatho.<br />
Translator: Na ningependa kuongea juu ya body Government. Nasema serikali tunaitaka ni serikali ambayo inaweza tumikia<br />
wanainchi wa Kenya mahali pote wako na nadhamu hiyo kuweza kupatikanwa ni kuweza kupatia ofisi wa sheria independence<br />
bila kuingiliwa na mtu yeyote na power yeyote kutoka rais ama pande yote. Ya pili ningependa kusema police ndio wenye<br />
wachunga sheria ya hiyo inchi na wanachukua mshahara chini sana kama hatutaangalia masilaha yao corruption katika inchi hii<br />
haitamalizika na ningependa katika mkoa hii ya Kazkasini Mashariki hakuna mission school hata moja kwa hivyo serikali<br />
tunaweza kushare nation cake together tuwe tunapata mission school moja katika hii hii North Easten province. Ya mwisho<br />
tunaweza kusukuma mafuta kutoka Mombasa mbaka Eldoret na watu wetu wanakufa na (inaudible)------- maji kwa hivyo<br />
hiyo inaonekana kidogo tumelaliwa zaidi kwahivyo maji iwezwe sukumwa mbaka hapa watu wasipigane na nyani.<br />
Com.Swazuri: Haya, asante sana swali umeshindwa kujibu muko wangapi kabila yenu hiyo kabila yenu unasema lakicha hiyo<br />
kabila yenu mko wangapi hapa Kenya?<br />
Ishamel Ahmed: Tuko nafikiri hapa labda kama watu elfu tatu hivi<br />
Com. Swazuri: Elfu tatu?<br />
Ishmael Ahmed: Hakuna hata chief moja<br />
79