15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mohamed Khalif: Ingine ni mambo ya grazing rights (inaudible)--- point na salt link kuna mahali muhimu sisi tunachukuwa salt<br />

(sijui kiswahili) chumvi ya ngombe na mbuzi ngamia kwa mto kuna mahali mfungaji anaweza lete ngombe yake akunywe maji.<br />

Tunataka hizo points zote ziwe protected iwe gazeted ya kwamba kuna mahali fulani watu wanawesa kunywa maji, kuna mahali<br />

fulani watu wanaweza kaa, wanaweza chukua chumvi.<br />

Translator: Waxa jitra mesha biyaxa lagacabo wowiga iyo melaxa caratha lagaqato walaiskaota xolixina mel ey biya<br />

kacabayan malaxa. Tas waxan rawa in sharciga ilalinayo in an xelno.<br />

Mohamed Khalif: Ile ingine ni mambo ya grazing areas. Zamani tulikuwa na wakati ya mvua kuna sehemu zingine watu<br />

hawakubaliwi wachunge mali zao na kuna wakati ya ukame sasa hiyo season imeharibika na ardhi imekwisha. All areas there is<br />

a lot of overgrazing so lazima tuwe na sheria ambayo inapanga vile wafugaji wachunge wanyama zao.<br />

Translator: Waxan rabana anaga xola daqatatha mela wan qabney laguthajio xolaxa marki jilalka waxan rabna in an sharci<br />

uxelno oo mela goni oo waxtiga jilalka iyo robka mela lathaqo in an xelno yan rabna.<br />

Mohamed Khalif: Ya Kadhi naunga mkono Sheikh Ibrahim. Mambo ya local authority pia naunga mkono ndungu zangu<br />

waliongea na naongeza kidogo tunataka election ya chairman wafanywe na wanainchi. Alafu tuwe na qualifications ambayo<br />

tunawezesha ni nani anaweza kuwa councilor na nani anaweza kuwa chairman. Lazima councilor awe na basic education.<br />

Com.Swazuri: Kama gani<br />

Mohamed Khalif: Form four standard eight..<br />

Translator: Waxan rawa xaga Councillor yasha marki lathoranayo wa in ey taclin laxathan ama form four ama eight ey<br />

axathan. Tan kaley Chairmanka County Council wa in ey thath weynaxa ey sothortan.<br />

Mohamed Halif: Presidential powers za rais hatutaki kusikia fulani iko juu ya sheria. Hakuna binadamu anaweza kuwa juu ya<br />

sheria. Tunataka presidential powers iwe redused na kama anafanya makosa anawesa stakiwa. Kama ni Mbunge……..<br />

Translator: Waxa kaley on rabna sitha xata noqoron in mathax weynaxa sharciga wukaweynaxay macnaxa lamathacweyni<br />

karo waxan rabna ninkasta in u sharciga kaxoseyo oo lathacweyni karo ayan rabna.<br />

Mohamed Halif: Majimbo system naunga mkono pia. Massacres ya malkamari wagalla na iko katika grade ni vile<br />

(inaudible) alisema tunataka compensation iwekwe kwa katiba ndio mtu anaweza kupeleka serikali kotini awe compensated.<br />

Translator: Wixi dib o lasomarey ti Wagala,Malkamarey iyo wixi lamit ax wain sharciga lagaliyo in magdaw an warsani karno.<br />

Mohamed Halif: Creation of constituencies should not depend on the population but should depend on the sizes of the area<br />

geographical areas features.<br />

Translator: Marki xuthuth yatha lasameyno wain ey kuxirnanin cathatha dhadka lakin ey balarka dulka ey kuxirnato.<br />

Mohamed Halif: Tunataka serikali aweke kwa katiba ile mda tulipotesa wakati ya ukoloni kwa sababu aliweka sisi kando na<br />

Kenya zingine na baada ya hiyo mambo ya shifta. Tunataka budget ya serikali iwekwe special fund ten percent of the budget<br />

tupatiwe wale ambao waliwachwa nyuma ndio tuweke tuwe nauweso ya kufika wale wengine. Asanteni.<br />

Translator: Oguthabeysi anaga waqtigi ukolonitha gathal ayan udacney marki an kabaxneyna Uhuru laxelna emergence aya<br />

nagudacthey waxan rabna thacliga dhowlada boqolkiwa towon sifa an usukacno oo kenyatha kaley an lasinano.<br />

Speaker: Halif Mohamed Shar<br />

19

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!