15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

isiolo kuna barriers zaidi ya hamsini ifungwe hapa ifungwe hapa unaulizwa kila (inaudible) ------------ hata shida ambaye ile<br />

wewe hauna unawekewa juu na kupita isiolo kupita Nairobi katikati hakuna labda upate barrier ya police usiku hiyo hakuna<br />

shida lakini hii ingine ya hii mambo ya kusumbuliwa watu nasema barrier hakuna maana hakuna maana ni ajabu sana. Nataka<br />

kuongeza kitu kimoja ingine. Waheshimiwa hapa watoto wakisoma wakisha maliza shule hakuna kazi wanapata, hata yule<br />

amefaulu na yule ajafaulu kama hawa watoto ambaye amemaliza secondaries hawapati kazi watakuwa nini watakuwa shifta?<br />

uhalifu natokea hapo wanaenda inchi ingine wanakuja (inaudible)-------------------------------kila wakati<br />

(inaudible)----------- wanazunguka mahali ingine. Kwa hivyo wale watoto ambaye wamemaliza shule wapatiwe kazi fulani hata<br />

ingawa National Youth Service naona National Youth Service amesaidia watu wengi sana area hii wale watu wanafanya kazi<br />

ten percent ni wale watu wamepitia katika National Youth Service maneno yangu nisha malisa asante sana.<br />

Com. Swazuri: Mohamed Mahamud Mahalim hayuko? Mohamed Ali Isaack, Abdi Osman?<br />

Abdi Osman: Hapana hapana sauti yangu inatosha. Okay mara kwanza nasalamia ninyi sababu tangu subui niko hapo bado<br />

ongea bado pata nafasi lakini ni Mungu napelekea mimi na narudisha shukrani kwa wanainchi wageni yetu ni asante sana<br />

kupewa hii nafasi asalam aleikhum. Basi kidogo mimi nikisema ni jina yangu ni Abdi Osman na mimi ni mzee ya peace and<br />

development chairman, hapana vice chirman.<br />

Lakini kwa wakati huu ni chairman, chairman yangu iko inje kwa hivyo nawakilisha yeye sababu mwenyekiti iko safari na kitu<br />

ya kwanza watu walipiga kidogo kidogo ugali na mahindi pamoja kwa hizo hali ya leo naangalia hapo lakini ni sawa kila mtu<br />

aliongea kiwango yeye ambayo naelewa ni namna iko ni hii. Namna iko kwanza ni kitu moja zaidi wanainchi na pia hasaidii<br />

serikali kitu naitwa chuki ni mimi binafsi nilifanya my service year yangu ya kazi ya serikali thirty three year nilifanya kazi ya<br />

serikali na ambayo unaelewa kama haina tube naweka kazi hiyo ya serikali na niliwacha nikiwa warrant officer ya serikali<br />

ambayo nandaika ni kitu gani naendelea kwa serikali ya Kenya.<br />

Lakini kisimama hapa sitaki kuingilia sana serikali lazima nikule mfupa moja niache moja na ikiwa namna hiyo lazima niseme<br />

kitu nahusu sisi wanainchi wa North Eastern or wananchi wa Kenya kitu alihudhi sisi roho. Na kitu moja mi nasema ni namna<br />

nyi nakuja ni asante sana karibuni ni kwa inchi yenu ambayo hata kama tunakaa hapa sisi Wasomali na ninyi yote ni wananchi<br />

wa Kenya na sisi pia ni wananchi karibuni ni kwa inchi yenu tu. Basi sasa kitu mimi nasema ni hii ni kama watu walisema kidogo<br />

kidogo hapa ni iko msumbuko ni hapa Mandera uki angalia njia moja naweza kusaidia wananchi hata kwa mtu namaliza shule<br />

hata kwa kiwete hata kwa kipovu sababu ni mpaka zaidi mpaka analete pesa sana.<br />

Serikali akitengeneza hapa air strip unaona ndege hata 707 inaland hapa lakini serikali inajifanya kipovu shauri hataki wanainchi<br />

ya North Eastern na wajui kama hawa wenyewe najiharibu sababu asitoshe ndege hawesi enda Nairobi. Nachukua hapa kombi<br />

wanahama nyama frish hata Warabu kila kitu. Wakichukua nyama hapa sababu Somali hawana shamba pia iko na shamba ya<br />

kujisaidia ni wakupe mali yao sisi pia na Ethiopia na kweli kwa Kenya iko mpaka kama hiyo bila hata Mandera na kwanini<br />

serikali nafunika macho serikali afungue macho aangalie hiyo tunaomba government yetu. (Inaudible)------------- hiyo ingine ile<br />

mimi nitafuatisha ni ukitembea ni population ya kama Turkana na hapa sisi wasomali sisi ndio mara kumi mingi kwa nini<br />

barabara kutoka Nairobi mbaka lodwar ni lami hapa kwetu hatuna kwa nini serikali najifanya kipofu na ambao na kama hataki<br />

sisi apee sisi permit ya kuhama inchi ingine na pia aonyeshe sisi mahali ya kuhama kama ataona ngoja tafadhali ugonjwa itabaki<br />

kwa macho hapana angalia.<br />

81

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!