15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

hana mkono uso moja hakuna anaye zaliwa na ile mahali hiyo kitu imewekwa hata nyasi ilikuwa samani inatoka hakuna<br />

kwahivyo kuna toxic gass kwa hivyo tunataka Office of the President and Minister for Energy to compansate for those damage<br />

ambayo wamecause. Ile mambo ya Masakas ya Wagala Malgamari naungana na wale waliongea mbele yangu tunataka<br />

compensation.<br />

Mimi nikiwa hapa mkoa hii mimi ndio senior vice chairman KFF branch kuhusu kitu ingine Kenya imetudhulumu yaani the<br />

smallest thing kama sports mtu anakimbia mguu yake ndio inaletea kitu mpira mtu nacheza mguu yake ndio naletea kitu Kenya<br />

imetufinya imefika kiwango ya kutufanya we don’t have even one permanent stadium in North Eastern province. Na utakuta<br />

Onyango Wafula hata siku hizi iko Karanja anacheza mpira why not Abdi Mohamed Suleiman international sport, Harambe<br />

stars.<br />

Hii yote ni njia ya kufinya sisi chini kwa hivyo Ministry of Sports pia imetuneglect kwa hivyo hiyo huduma ambaye imekuwa<br />

facilities kama (inaudible)---- imefanyiwa down Kenya tufanyiwe mpaka hapa. Okay nataka local authorities iwe impowered<br />

vile walisema asubuhi tunataka hii kadhi akiamua kesi mbaya tunataka at a national level kama tuko na Kenya Court of Appeal<br />

tuwe na Kadhis Court of Appeal huko Nairobi ambayo inauwezo sawa na ile Kenya Court of Appeal. Na mambo ingine hii<br />

mambo ya polling station, mimi kwa maoni yangu tuseme kama Mandera DD ni polling station, moja hapa nataka kama<br />

wanainchi wakipiga kura asubuhi jioni ikifika hiiyo saa kumi na mbili ikifungwa hiyo masanduku sisisafirishwe. To avoid<br />

corruption hizo kura zihesabiwe hapo hapo kwenye each polling station to avoid riging hiyo ni maoni. Yangu. tafadhali ngoja<br />

mimi nasema qualification MP to be from form four and above qualification ya kwanza Kenya tumesumbuliwa kielimu zamani<br />

tulianza na Cambridge tulifuatanisha E A C E tena sijui G G E sasa K C S E 8-4-4 system kwa hivo a councilor wa stardndard<br />

seven up to form four graduate hawezi kucontest. Hiyo ni maoni yangu na jambo ingine North Eastern should have equal<br />

constituency ambaye Central province iko nayo kama Central province tatu constituency sisi North Eastern tupewe tatu<br />

because we are twenty five this province is biger than Central Province jambo ya mwisho ambayo siyo ya mwisho kabisa mimi<br />

naomba hii wabunge wamejitetea kama (inaudible)-------------- na wenzake wengine wako elwak na huko tatara salary yao<br />

wameongesa three hundred sijui something percent wanachukua pamoja na allowance sijui wanagonga million moja na kitu kwa<br />

mwezi why not (inaudible)------- ambaye huwa always next to your people mama mtoto wake akigonga mwingine anakimbia<br />

kuomba msaada police anataka shauri ile (inaudible)--------- wanataka kitu kidogo tunasumbuliwa kila wakati kwa hivyo<br />

tunataka mshahara ya madiwani pia watolewe kwa consolidated fund.kwa hayo machache nasema asante.<br />

Com.Swazuri: Asante sana Bwana Suleiman kwa hayo mengi sana Birie N Hassan, Abdi Boru Guyo, Abdi Osman S<br />

amesema concillor Abdi Abdilahi Noor hayuko? Bishar abdilahi.<br />

Bishar Abdilahi: Mimi pia ningetaka kutoa maoni mi naitwa Bishar M Abdilahi. Ya kwanza sisi katika inchi huu ya Kenya<br />

tuko na uhuru ya kuabudu na vile mwingine alisema we are not allowed fully to practise so we want a full profession that first of<br />

all the muslim to practise its religion to hundred percent kwa sababu nikiwa nasema hivo tuna Islamic sheria ambayo inaitwa<br />

inatuamuru. So mtu yeyote ambaye anavunja sheria ya Islamu kuna forbidden act katika sheria sisi tunataka kuchunga hiyo<br />

sheria zaidi kuliko macho yetu.<br />

So ya kwanza ni ku tunarecommend Islamic Sheria Court iundwe katika constituency ya Kenya which shall be maintained by<br />

professionally learned Muslim scholars ambaye may be ni Kadhi na mpaka Chief Kadhi which has the same powers like the<br />

85

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!