JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
ulexein.<br />
Translator: Tulikuwa kundi mbili kuna wale watu ambaye wako na haki kuishi katika mji hii na kuna wale ambao inainekana<br />
hawana haki hata kidogo.<br />
Hussein Ahmed: Mandera daxthehta dhad aya gatey oo ddhad lacag leh ba watha gatey dhadka masakintana waxba ey<br />
kulexein.<br />
Translator: Na inaonekana hapa ya kwamba Mandera tukiendelea inaonekana inakuwa ingekuwa mahali ya wale watu wako<br />
na mali tu, Mtu tajiri ndio ako na haki na wale maskini hawana haki hata kidogo.<br />
Hussein Ahmed: Magalathehta afartehta kona ninki lacag leh umba iskale.mita lawath magalathan. Sharciga waxa wayey<br />
dhadkan masullinta eh o mathax iskadigo in sharciga lagaqatho oo dhad masakin eh lasiyo.<br />
Translator: Kwa hivo nasema hiyo mtindo ibadilishwe kisha iwekwe katiba mtu ambaye ni tajiri na mtu maskini iwe haki<br />
moja haki sawa.<br />
Hussein Ahmed: Mitha lawath xawen lawa saq wixi kabilawtho lamadax mari karo waxa kuqawani polis ila xer waxan<br />
garney in an musajitlaya an kagocno polis laaligot.<br />
Translator: Usiku pia uhuru ya kutembea usiku imekuwa taabu tukitoka inje hata kwenda kusali ----- ambaye inasali saa<br />
mbili ya usiku tunaweza ogopa kwasababu police anasimama kila mahali na inashika watu lete kipande lete hii kwa sababu iko<br />
taabu kama hiyo.<br />
Hussein Ahmed: Polista sharci an kuaconsano malaxa nambar maqawan, in ey laxathan nambar.<br />
Translator: Basi lazima pia sasa nawezekana mtu pengine hata mjambazi anawe kufaa uniform ajiite police kwa hivo<br />
tunataka police aweke namba badge na jina yake hapo.<br />
Hussein Ahmed : Sharciga xorta Mandera guthexetha wanalagumeysta, wanalagumeysta.<br />
Translator: Kwa hivyo ya mwisho anasema la fumbo hii kunyanyaza nyanyazaji hii hatutaki amemaliza hivyo asante<br />
Com.Swazuri: Kuna K. N Shali apana huyu si huyu mwingine wamesema ni wawili K N Sheik moja ameongea bado huyu.<br />
Kulo Mohamed Sheik: Mimi naitwa kulo Mohamed Sheikh yaani kwa ufupi ndio naitwa K N Sheik maoni yangu ni kama<br />
ifuatayo. Ya kwansa kabisa nataka to retain the unitary system of government ambayo tuko nayo sasa ambayo ni serikali ya<br />
watu yote nataka pia to retain the Provincial Administration sababu ukiangalia hapa mipaka majirani zetu unakuta mahali hakuna<br />
Provincial Administration iko shida nyingi sana.<br />
Halafu hii madaraka nyingi tumepea the president we want the trimming of presidential power alafu ya inne tunataka hii<br />
presidential office tena muda ya rais kuka kwa office iwe miaka moja pekee yake, ili itupatie nataka iwe one year hiyo ni maoni<br />
yangu tafadhali niheshimuni kuna Wakenya wengi wana ambitions ya kuwa rais kwa hivyo kila muaka tupate moja mpya.<br />
Mambo ya political division nataka iwe treated as an election offence mtu anatoka kwa chama yake alafu anaingia upande ile<br />
ingine nanyanganya wengine nafasi yao so tunataka watu wale ambao wanadefect kiovyo ovyo wapelekwe kotini.<br />
Alafu (inaudible) ------------ kama hii (inaudible) -------- ya baringo kama kona (inaudible) -------- wapewe nomination ya<br />
MPS kutoka tukiconsider their minorities sababu kwa uchaguzi tuna hakika tutushinda. Hawa alafu iko hii mambo ya<br />
kitambulisho ambayo wengi wameongea juu yake mambo ya screening card lakini ile mambo ningependa kuongea juu yake ni<br />
hii ya importing committee iko committee ingine naitwa vetting committee nataka itupiliwe mbali kabisa. Alafu mambo ya none<br />
77