15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

ulexein.<br />

Translator: Tulikuwa kundi mbili kuna wale watu ambaye wako na haki kuishi katika mji hii na kuna wale ambao inainekana<br />

hawana haki hata kidogo.<br />

Hussein Ahmed: Mandera daxthehta dhad aya gatey oo ddhad lacag leh ba watha gatey dhadka masakintana waxba ey<br />

kulexein.<br />

Translator: Na inaonekana hapa ya kwamba Mandera tukiendelea inaonekana inakuwa ingekuwa mahali ya wale watu wako<br />

na mali tu, Mtu tajiri ndio ako na haki na wale maskini hawana haki hata kidogo.<br />

Hussein Ahmed: Magalathehta afartehta kona ninki lacag leh umba iskale.mita lawath magalathan. Sharciga waxa wayey<br />

dhadkan masullinta eh o mathax iskadigo in sharciga lagaqatho oo dhad masakin eh lasiyo.<br />

Translator: Kwa hivo nasema hiyo mtindo ibadilishwe kisha iwekwe katiba mtu ambaye ni tajiri na mtu maskini iwe haki<br />

moja haki sawa.<br />

Hussein Ahmed: Mitha lawath xawen lawa saq wixi kabilawtho lamadax mari karo waxa kuqawani polis ila xer waxan<br />

garney in an musajitlaya an kagocno polis laaligot.<br />

Translator: Usiku pia uhuru ya kutembea usiku imekuwa taabu tukitoka inje hata kwenda kusali ----- ambaye inasali saa<br />

mbili ya usiku tunaweza ogopa kwasababu police anasimama kila mahali na inashika watu lete kipande lete hii kwa sababu iko<br />

taabu kama hiyo.<br />

Hussein Ahmed: Polista sharci an kuaconsano malaxa nambar maqawan, in ey laxathan nambar.<br />

Translator: Basi lazima pia sasa nawezekana mtu pengine hata mjambazi anawe kufaa uniform ajiite police kwa hivo<br />

tunataka police aweke namba badge na jina yake hapo.<br />

Hussein Ahmed : Sharciga xorta Mandera guthexetha wanalagumeysta, wanalagumeysta.<br />

Translator: Kwa hivyo ya mwisho anasema la fumbo hii kunyanyaza nyanyazaji hii hatutaki amemaliza hivyo asante<br />

Com.Swazuri: Kuna K. N Shali apana huyu si huyu mwingine wamesema ni wawili K N Sheik moja ameongea bado huyu.<br />

Kulo Mohamed Sheik: Mimi naitwa kulo Mohamed Sheikh yaani kwa ufupi ndio naitwa K N Sheik maoni yangu ni kama<br />

ifuatayo. Ya kwansa kabisa nataka to retain the unitary system of government ambayo tuko nayo sasa ambayo ni serikali ya<br />

watu yote nataka pia to retain the Provincial Administration sababu ukiangalia hapa mipaka majirani zetu unakuta mahali hakuna<br />

Provincial Administration iko shida nyingi sana.<br />

Halafu hii madaraka nyingi tumepea the president we want the trimming of presidential power alafu ya inne tunataka hii<br />

presidential office tena muda ya rais kuka kwa office iwe miaka moja pekee yake, ili itupatie nataka iwe one year hiyo ni maoni<br />

yangu tafadhali niheshimuni kuna Wakenya wengi wana ambitions ya kuwa rais kwa hivyo kila muaka tupate moja mpya.<br />

Mambo ya political division nataka iwe treated as an election offence mtu anatoka kwa chama yake alafu anaingia upande ile<br />

ingine nanyanganya wengine nafasi yao so tunataka watu wale ambao wanadefect kiovyo ovyo wapelekwe kotini.<br />

Alafu (inaudible) ------------ kama hii (inaudible) -------- ya baringo kama kona (inaudible) -------- wapewe nomination ya<br />

MPS kutoka tukiconsider their minorities sababu kwa uchaguzi tuna hakika tutushinda. Hawa alafu iko hii mambo ya<br />

kitambulisho ambayo wengi wameongea juu yake mambo ya screening card lakini ile mambo ningependa kuongea juu yake ni<br />

hii ya importing committee iko committee ingine naitwa vetting committee nataka itupiliwe mbali kabisa. Alafu mambo ya none<br />

77

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!