15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Translator: Sehemu kidogo katika wilaya yaani kando kando za mito hii wa dawa ndio ambayo mahali tunayo mashamba<br />

dogo dogo na hizo shamba haitambuliki kwasababu adjudication haijafanywa hakuna mtu ameangalia survey haijafanywa<br />

tunataka sheria itukubalie hizo shamba tunazo kando kando za mito hi wa dawa tuwa na cheti yake ili tunaweza kupata msaada<br />

ingine kama mkopo na i kadhalika.<br />

Mr Mohamed: Bera waxa nogasogoo xawayarathane waxa kasoboxo suq umaxelno sababta galey mel kale lagaken melkale<br />

aya nalasiya ti dulkena kabaxthey suq umaxaisano in an suq uxelno wa in sharciga lagaliya.<br />

Translator: Tena tatizo kulingana na upande wa shamba ni mazao ambayo tunavuna katika wale ambao tunaishi kando<br />

kando ya hii mto, inalete chakula ingine ya relief inaumiza hiyo hatupati soko kwasababu ile zetu hainunuliwi tunataka sheria<br />

iwekwe kwanza mazao yetu ipate soko alafu pengine ile ya kuzaidia watu itoke mahali ingine.<br />

Mr Mohamed: Mitha kaley, dulkena nawathgur aya kadacthey gethixi kuli walagoyey in gethaxa an lagoinin wa in sharciga<br />

lagutharo.<br />

Translator: Tunataka sheria ya protection of environment yaani miti zimekatwa mpaka sasa hii inchi imeingiliwa na jangwa la<br />

bala desertification kwa hivyo tunataka sheria ambayo inaweza kutunza miti zetu.<br />

Mr Mohamed: Sabata dulka xathu rob kuthoco biyaxi wey iska mel celineyso malaxa biyixi iyo qoryixi ewer aya lagadigey<br />

biyaxa wey iska soconayin.<br />

Translator: Mvua ikinyesha sasa maji sinatiririka hakuna miti inasuia monyonyoko ya udongo ndiyo hiyo gulley<br />

sinatengenezwa ni taabu nyingi.<br />

Mr Mohamed: Ee ya mwisho, Waxan rawa dhathka gabdaxa xogo waxan raban in ladilo oo kaw lagasiyo.<br />

Translator: Wale rapist hii point watu wanasema rapist ile ambayo naangusha wasichana auwawe katika sheria tupate sheria<br />

ya kuuwa.<br />

Mr Mohamed: Waxan sas an uleyaxay gebdaxa wey bathanyixin ninka xathu bilcan rawo walith kotha ayayu uimalaxa ama<br />

ugursani laxa lakin waxu sas uuyelayo waxawaye dhadka ayu kuxumeynaya.dib ayu kubilawaya.<br />

Translator: Ya hiyo kama ni mwanamke ni nyinyi kwa nini mtu naangusha msichana anatafuta taabu inaweza kuleta conflict<br />

watu wapigane hii inalete is a source of conflict.<br />

Mr Mohamed: Dibka xata jiran kena kadacay sas ayey kubilawatey bilcan yey kubilawatey.<br />

Translator: Ile taabu ambayo inadhuru pande ya Somalia hii gedho region sasa imetokana na mambo ya raping wasichana.<br />

Mr Mohamed: waintas.<br />

Com.Swazuri: Haya ee Diab Abdi Madey<br />

Audience. Athiga aya lagufadiya.<br />

Diab Abdi Madei: Similahi rahiman rahim ee mimi nitaongea kwa lugha ya kizungu kidogo the first thing I want to talk about is<br />

my name is councillor Diab Abdi Madey elected councilor in Mandera town council. The first thing that I want to give my views<br />

is the presidential powers to be reduced in Kenya.<br />

Translator: Waxu yiraxthey awotha mathax weynaxa xaladimo.<br />

Councilor Diab: The second thing the second thing is the provincial administration to be scrapped off.<br />

Translator: Waxu yiriy nathamkan xata loyaqano Provincial Administration xalababiiyo.<br />

29

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!