15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Speaker: She has spoken I think I will ask the chair of this session to recognise the presence of the MP before we go on.<br />

Com. Swazuri: We recognise the presences of your MP who has arrived Hon. Shaban Isaak we recognise your presence and<br />

will give you a chance after or are you not ready to give your views? Okay fine aa Asili.<br />

Translator: MP in usogaley o ujoga ogan teth laxatha.<br />

Speaker: Asili Ibrahim hayuko? Muslima Isaak Yusuf.<br />

Muslima Isaak Yusuf: Salam aleikhum mimi naitwa Muslim Isaak Yusuf. Mimi malimu ya youth polytechnic na hapo kuna<br />

watu wameongea mambo ya education nimeskia lakini sijaskia mambo ya technical skill iko ndani na hiyo ndiyo muhimu kuliko<br />

hiyo yote, sababu hii mambo ya skuli unamaliza secondary ama primary lakini unaongoja employment ya mtu. Lakini hii<br />

ukimaliza yako unajiandika mwenyewe na sijaskia mtu akiongea juu ya hiyo. Nikisema kama North Eastern ilikuwa na youth<br />

polytechnic kumi na ilikuwa inazaidiwa na serikali lakini miaka kumi na tano iliyopita serikali imesahau mambo yake na vile<br />

serikali imesahau hata wanainchi hawajui ni nini inaaendelea na hawajui protect ni nini ama self employment wanaweza pata<br />

kutoka wapi. Kwa hivo serikali iangalie mambo ya youth polytechnic ndio asaidie vijana ile hawajaenda secondary ama<br />

wajabahatika mahali zingine, sababu kuna mwingine hapa alikuwa anasema kuna street boys sijui nini hakuna street boys, ni<br />

kikosa tu mahali ya kwenda na mahali kama hapo angefaa waende kama youth polytechnic ile iko karibu na hawa wajizaidie<br />

haye.<br />

Translator: (Somali dialetct) Wexey tiri youth polytecnic dor melodth wey jiran dhakana kama war qawa ilmaxa xata mela<br />

iskajogan in ey athan oo wax ey kasobartan xata waxan rawa in laqojio oo dhowlada ey nagukalmeyso.<br />

Muslima Isaak Yusuf: Ikiwa hivo naona serikali yenyewe imesahao sababu zamani alikuwa anamlipa kama walimu<br />

mshahara na siku hizi hata hawalipi walimu na youth polytechnic yote imeanguka sababu ya kukosa walimu ama vifaa ya<br />

kutosha. Unaona hata hawa hawana interest sababu ijaelezwa chochote hata serikali mwenyewe amesahau iyo mali.<br />

Translator: Meshas wa mel adh uxoseyso oo xata dhowlada war umaxisao marka waxan rawa in wax loqabto oo laogatho.<br />

Muslima Isaak Yusuf: Afadhali iongeswe hii sheria ndio vijana wafaulu ile maisha yao ya kesho sababu naona kuna<br />

walekosa kazi wamemaliza primary pekee yake lakini hawana mahali ya kwenda. Kama hiyo mahali ingekuwa na hai ama<br />

nguvu yeyote kuna watu wengi tayari sa hii tumefanyisha watu wengi mtihani na tunaendelea tu yaani tunajiforokea tu hakuna<br />

mtu anatulipa.<br />

Translator: Macaliminta xata mishar lamasiyo waxan rabna in nalaogatho.<br />

Muslima Isaak Yusuf: Waxan rawa in Youth polytecnic laqojio o ilmaxa melaxa waregayan in xog waxbarasha ey xelan in<br />

sharciga lagutharo.<br />

Translator: We need the constitution to recognise the existence of village polytechnic and try to give them strength in future.<br />

Muslima Isaak Yusuf: Na nikiongesa ingine naongea mambo ya ardhi, kama mimi nimefanya kazi twenty three years na sahi<br />

sina plot moja hata na kuna watu wanaenda Nairobi wanakuja na barua kutoka Nairobi na wanafunga compound nzima karibu<br />

Mandera nzima na mi nimesaa karibu watoto saba hivi. Mi mwenyewe sina plot sasa mtoto wangu atapata wapi plot na hapa<br />

tunaambiwa iko town council iko county council na hakuna mtu anajiregister iyo mahali tunaenda Nairobi kujiregister na kuna<br />

wengine hatujui mambo ya Nairobi kwa hivo mambo ya ardhi iangaliwe.<br />

Translator: Marka arinta dulka wa in adh lofiyo.<br />

68

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!