15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Com. Swazuri: Haya, asante haya Abdi kathir Yusuf hoo ile mzee haya Ibrahim Hassan?<br />

Ibrahim Hassan: Asante sana kwa kunipatia nafasi ingine. Jina langu mimi naitwa Ibrahim Hassan Hussein. Ya kwanza mi<br />

nataka kuongea nataka kusema kitu chache tu siyo mingi. Ya kwanza mi nataka kusema na utakuwa ushahidi kwangu kama sisi<br />

katika mkoa hii haswa hapa Mandera tuko nyuma kabisa na serikali inajua lakini hawezi kuangalia sisi kwa sababu ya nini?<br />

Ninyi tangu jana usiku mlikuwa hapa mchana uliskia mtangazo ya Nairobi hapa hakuna KBC inafika hapa na tunahesabiwa<br />

katika Kenya. Kwanini sisi hatupati hiyo matangazo hiyo ni kitu moja nataka hiyo matangazo afike hapa.<br />

Ya pili hata ingawa watu wameongea juu yake zaidi hii mambo ya screen hii screen ametufungia vitu nyingi sana ukienda banki<br />

ukienda mahali fulani ukienda Nairobi unaambiwa wapi hii screen yako? kwa heshima yenu nataka hii kitu msuluhishe haraka na<br />

tusikie hii matangazo yenu hii kitu kama ametupwa kabisa.<br />

Ya tatu ni mambo ya ukabila tuko na shida sana tukitoka hapa pamoja na wewe hapa na gari kufika Narok mimi naulizwa<br />

kipande na wewe huulizwi kipande. Katika Kenya mko na majirani makabila ingine kuna Uganda, Tanzania, Rwanda makabila<br />

nyingi lakini kwa nini Wasomali pekee yao naulizwa kipande na wale ingine ambaye yule mtu ambaye unatembea nae haulizwi<br />

na wewe unaulizwa. Hii ni shida moja sasa.<br />

Ya pili ya tatu police anafanya mzako yao kitu ya kawaida chief awe na hawa watu wakati anaingia nyumba ya mtu vile mama<br />

mwingine aliongea hapa sa hii usubuhi alisema we unaambiwa utoke nje ya nyumba yako hata askari wanaingia unaambiwa<br />

wanakagua kila kitu yote na haujui kitu gani wamechukua na kitu gani wamekuwekea hapo ndani. hiyo kitu ya kwanza wakati<br />

wanaingia askari wanaingia nyumba yako lazima iwe na chief ama mtu ambaye amejulikana na hawa ili wasipeleke juu sababu ni<br />

hiyo sherehe mi nimesha ingia hiyo kazi ya sherehe hiyo na ninajua maoni yake sasa unaona nyumba yako imekaguliwa hata<br />

unawekewa kitu silaha na baadaye unaambiwa hii kitu ni yako na wewe hata hujawahi kukaribia hiyo kitu.<br />

Mimi naendelea mimi nimefanya kazi ya ukoloni zamani nikiwa askari. Tangu ukoloni ameenda sisi hatujapatiwa ukoloni<br />

hatupatiwi sisi ninyi haki yetu. Mzungu amehama na haki yetu lakini nanyamaza kuna wengi ambaye amefanya kazi ya serikali<br />

pension na ingine hizo walienda nayo waliuza kazi kidogo sana (inaudible)--------------------- tunataka hiyo walipe hiyo pesa<br />

yetu serikali aulize hiyo Uingereza pesa yetu maana tuko na haki. Ingine sisi tuko na sheria yetu kitabu ya Islamu kitabu ya<br />

Koran ametungwa zamani za kale sinaanzisha sisi hapana tunga ama hakuna mtu ya hapa ya dunia hii ametunga. Wale manabii<br />

ambaye amesema neema ya mungu ameteremsha hiyo Korani ameweka sheria yote ya Islamu sa hii ikitajwa tajwa nasema<br />

badilisha hivi badilisha hivi abadiliki. sheria ya serikali ni sawa tuko pamoja na wengine lakini sheria yetu ya Islamu sisi tuko<br />

nafasi yetu kabisa hakuna mtu anaweza kuingilia sheria yetu hii sheria yetu inaendelea lakini Kadhi apatiwe uwezo zaidi kuliko<br />

sasa.<br />

Com.Swazuri: Yaani sheria itambue sheria ya kislamu?<br />

Ibrahim Hassan: Ndio ngoja kidogo ngoja nimalize. Tena kila nasikia kila wakati mabunge yetu natete katika parliament<br />

wanazungumza hoja ya inchi yetu ama kila mtu mahali amechaguliwa. Lakini kile kitu wanauliza inasemwa hapo hapo na hakuna<br />

kitu inafanyika hapa kwetu unaweza ona mbunge ameteta ameteta inchi yangu asaidiwe hivi asaidiwe hivi amechukuliwa hapo<br />

hapo na (inaudible)------------- hakuna kitu imekuja naona kuna ubaguzi hapo. Nataka wabunge waheshimiwa kama wale<br />

wengine na hawa wapate haki yao.<br />

Ingine nataka kusema ya mwisho ndio ingine nataka kusema ubaguzi ile tuko nayo nataka kuonyesha wewe kutoka hapa kufika<br />

80

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!