15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

hatuwesi kulipa sasa juzi nimeandikwa shillingi mia tatu hospitali dawa hiyo siwezi nunua kwa hivyo serikali iweke mkazo watu<br />

maskini wapate dawa vilivyo.<br />

IsmaelMohamed: Mita kaley polista anaga o intan laeg xathi iskoris wax xaleyo. Polis aya naqaracthey anaga oo shan iyo<br />

kabathan eh markey nagathalena wey iskatagen, qof ankuthacweynana malaxa. Tukale aya jirta dinta islamka xos maxa<br />

logudigey, maaxa yeley macalin iskulka mishar aya lasiya laikin macalin quran mishar malaxa………(inaudible).<br />

Translator: Okay anasema pia baada ya police harassment pia iko hiyo pia haijaliwi na ya mwisho mwalimu ya Koran<br />

ambaye nafundisha watoto Koran katika Duksi naonekana imewekwa chini hawalipwi na hiyo pia nataka serikali pia iangalie.<br />

Translator: Inaonekana tumemaliza lakini naomba radhi niongese point moja tu nimesahau very important moja tu naomba<br />

radhi mambo ya ardhi inaonekana tumesema nyingi sana lakini especially communial land nafikiri problem yake imekuwa<br />

commercial kwa hivyo tuweke katika katiba land ambaye haikuwa developed haiwezi kuuzwa ama iwe transferred. Empty<br />

land communial land area yetu hii trust lands ambayo unapatiwa mtu akupatie plot kama hakuna physical facilities ambaye<br />

amejenga haiwezi kuuzwa ardhi hiyo haiuziki hiyo iwekwe hiyo itasuia corruption.<br />

Com: Swazuri: Sasa tunataka kuwashukuru sana imekuwa siku ndefu tumesema tulikuja hapa kusikisa maoni yenu na nyi<br />

mmekuwa mkilalamika siku nyingi kwamba serikali watu wa down Kenya wanawadharau wanawaonea wanawa marginalize.<br />

Sasa leo tumekaa hapa mbaka saa moja kuproof kwenu kwamba sisi watu wa Kenya wote tunawaheshimu nyinyi kama ni<br />

sehemu ya Kenya ingekuwa ni kwa athifa ingine saa tisa sisi tungefunga, saa kumi tukaenda lakini kwasababu tunataka<br />

kuwaonyesha ya kwamba nyinyi tuna waconsider kwamba ni wanainchi wa Kenya tumesema tukae hapa mbaka ile list iishe<br />

naona list imeisha na pia tumeongesa watu ambao walikuwa wamekuja kuchelewa.<br />

Hiyo inadhibitisha ya kwamba sisi tunawaheshimu na hii siyo mwisho tukisha andika hii draft yetu report tutarudi tena sheria<br />

imesema turudi hapa tena ikiwa programme yetu haitabadilika sababu wanasiasa wanaingilia saa yote ikiwa haitabadilika sheria<br />

imesema tuje tukae na nyinyi kwa miezi miwili. Ile report tuwaletee msome tuje tuwaulize tena je mliyo sema tametekelezwa au<br />

la, mnataka tufanye nini? Kwa hivyo sheria inasema tutarudi tena hapa tuje tuzungumze nanyi. Haya mzee atupatie dua tusisahau<br />

mungu na tena tunawashukuru wale ma co-ordinator na wale walio fanikisha hii hadhara matranslator, wale walikuwa<br />

wanakuwa nachukua microphone hawa matechnician na staff wetu kwa subira inavuta heri, kwa kusubiri kwa muda wote huu<br />

lakini tusisahau Mungu kwa mambo yote kwa hivyo sijui mzee utatupatia dua? nani ata tu………<br />

Speaker. (Somali prayer)<br />

Speaker: Shout your names there.<br />

Paul Chemutut: My name is Paul Chemutut. I am a district Officer. Mine is touching on the powers of the president, the<br />

executive powers of the president, the executive and excessive powers. That was that time of independence and it was created<br />

for a purpose. So but after thirty nine years after independence I think those powers should be reduced dramatically. Where we<br />

have the Judiciary Arm of the Government the Legislative and the Executive. So the two arms of Judiciary and Legislature are<br />

stilll very wide compared to the Executive.<br />

So I would suggest that the office of the Chief Justice should be same and added more powers and more independence<br />

particularly from the interference of the president I am saying this because this complains of Masaka. I come from an area<br />

where what happened was tribal clashes between Marakwet and Pokot. The Marakwet were very much affected by those<br />

99

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!