15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ningependa kuuliza ama kuomba commissioners ya kuwa katika inchi hii tumewahi kuona au kusikia kwamba kuna commission<br />

mingi imetolewa.<br />

Speaker: Tusikisaneni sisi ni waislamu na waislamu wana heshima na order na utukufu. Kwa hivyo tuwapatie kila mtu nafasi<br />

ndio tutafanya haraka kila moja hapa tunataka atoe maoni hata kama ni saa moja ya usiku wale wataenda kuswali adhuhuri<br />

mchana tutawapatia nafasi warudi hapa sisi tuko hapa alasiri watu watakwenda kuswali sisi tuko hapa aya.<br />

Mohammed Okash: Ningependa kuuliza commission hii ya kwamba katika inchi hii tumewahi kushuhudia ya kuwa kulikuwa<br />

na commission mingi imetolewa katika inchi hii kwa muda mrefu sana na kwa mara mingi sana na ya kwamba hizo zote ambae<br />

zimetolewa kwa muda mrefu tunajua mingi yake haikufaulu na kuwa imefail hata hatujui imekwishia wapi. Tunataka<br />

mutuhakikishie ya kwamba maoni ya wanainchi wa Kenya kwa jumla ambayo inagharimu pesa nyingi ya kuwa imefaulu na<br />

itakuwa kwa sababu kwa tiyari kwa magazeti tunaona maneno mingi inatokea kuhusiana na mpango yenu ya kazi so tafadhali<br />

tungetaka isiwe kitu cha bure ambaye ya kuangalia tu ulimi yetu hiyo ni maombi yangu kwa jumla. Sawa<br />

Translator: Waxan arkey bu daxay xatha kaxorey Commishna yak bathan ba lasameyey kina masahqeini marka waxan<br />

kabaqa in guthigan in ey shaqeini oo xathalka nalagaqatho ey waxba noqonin waxan rabna in xathalkena wax qeima leh<br />

lagadigo.<br />

Mohammed Okash: Aa ile ingine ningependa ingaanzisha ya kwamba ningeunga mkono wenzangu ambae walikuwa hapa<br />

mbeleni ya kusema tunataka regional government. Tunasema hivo ya kuwa regional government, tunajua itatusaidia kwa njia<br />

mingi kwa vile hii inchi ni inchi kubwa na sasa siasa yake ama nidhamu yake ya desturi ambaye ilikuwa mbeleni haikuwa<br />

inaangalia kwa jumla. Sisi tukiwa watu wa North Eastern Province ama Eastern Province, Northern kwa jumla tunaona ya<br />

kwamba tunadhulumiwa kwa vile tunaweza kusema ya kwamba tumejua haki yetu kuanzikia kutoka ninty two wakati ya<br />

multiparty mpaka sasa hapo mbeleni hatukuwa tunajua maana ya serikali ama inchi ilikuwa kitu gani.<br />

Hatukuwa tunafahamu haki zetu tumeanza kufahamu kutoka ninty two multiparty. Sasa tunauliza ya kwamba tunataka regional<br />

government kwa sababu uchumi ya inchi hii inaenda kwa provinces moja mbili tatu pekee yake ambayo yote inawakilishwa na<br />

Mawaziri, Vice President na President pekee yake. Sisi tunauliza?<br />

Translator: Waxan rabna thowlad gowoleth in an iskuxukuno ayan rabna sababta 1992 lagabilawo ayan soyara nefsaney<br />

marka thowlada gowoleid xathan xelno wey kasificnaneysa. Thaqliga dhowlada wa uathaya nin ama wazir ama mathaxweyna<br />

wexey laathayan meshi lagasothortey anaga waxan qathney.<br />

Mohammed Okash: Basi tukaona hiyo itakuwa huko ile ya pili itakuwa ya kwamba ni vile mwenzangu alisema hii mipango ya<br />

unaona ya kwamba bunge inapitisha sheria fulani sijui wanasema amendment kwa muda fulani amendment na hii inchi ni inchi<br />

ambayo iko na population ya watu millioni thelathini. Watu mia mbili ishirini katika bunge ambaye wanajiongesea mishahara<br />

wanajiongesea kila kitu hawa tu pension mishahara yao sijui millioni moja na wanainchi wengine wanaumia hapa hiyo ni kusema<br />

ya kwamba wanajifanyia vile wanataka na wanalipwa rusha ili wapitishe hiyo amendment laws.<br />

Translator: Bathi sharciga markan sameysano waxa lasiya barlamanka in wax yar lasiyo oo sharcigi an sameysaney in<br />

labathalo in waxan rabna ey istagto ayan rabna.<br />

Mohammed Okash: Hiyo tunataka ya kwamba vile mwenzangu alisema tunauliza ya kwamba sheria kama kuna amendment<br />

13

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!