JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
kunyanyasa. Ya inne university sisi anaambiwa tunasoma tunalipa pesa hakuna mahali tunaenda. Hatupewi hiyo chance hata ya<br />
university na watoto wamepita. Tunataka sheria mpya university tupewe kiwango kama watu wengine university kama apana,<br />
tutupilie mbali hii maana ya elimu yote katika hii province.<br />
Ya inne hakuna kusema ati ile kiwango inagawa kila kitu inaenda kwa katika hii province tuko na MP kama kumi na moja na<br />
nne ile iko maana yote natoka garissa kila kitu natoka garissa ambayo ni province tunataka hata kama ni office of the president<br />
hata kama ni minister nominated MP lazima tupewe tuketi kitu moja. Mandera ipate moja Wajia ipate moja Garissa ipate moja.<br />
Hapana kusema kila kitu naweka we, hii watu naharibu wakati yangu. Kila kitu nawekwa Garissa yakuwa resorce man ni yeye<br />
waziri ni yeye DCc ni yeye. Sasa tutaongea sisi watu wa Mandera nini hata hawa wengi yako utalaumu bure hawesi jua swali<br />
yote hata DC ni hawa.<br />
Moja nabaki tafadhali baado ingine DC sheria mpya hii tuwekewe maanani ya kuwa hatutaki mtu yeyote ambaye hatatoka kuja<br />
mahali ingine kufanya. Watoto wetu wamesema wapewe mamlaka ya DCs and PCs ikiwa anatoka murang’a ana kuja anakuja<br />
hapa (inaudible)-------- anapora pesa inaenda DC anaenda kujenga Kisii na tunagojea ati million kumi tumepewa na serikali<br />
naanbiwa fanyeni kazi millioni kumi yenu na million kumi DC amechukua. Wewe ukienda dc permanent secretary tena ni Mkisii<br />
utaenda wapi ukistaki hiyo DC.<br />
Com.Swazuri: Imeisha dakika tano yako imeisha Mimi nahesabu hapa usione nasema tu. Tafadhali sawa haya asante. Hiyo<br />
tumeskia tumeskia hiyo haya asante andika majina yake huyo mzee haya ngoja Ali Osman Omar Ahmed S Hussein dakika tano<br />
tafadhali ee.<br />
Ahamed S Hussein: Assalamu aleykum, Mara ya kwanza ya kuomba tunataka kitambulisho tupate na kazi. Ya pili tunataka<br />
ile mtu ambaye amechaguliwa mara ya kwanza ya pili asirudi kama ni bunge kama ni president kwa sababu wenzake wakule<br />
maanake sisi wote tunataka kula, hata sisi tuko na njaa. Mara ya tatu kitambulisho tufanyiwe kama passport ya kwenda kila<br />
mahali. Akubaliwe kupanda hata kama ni ndege na kwenda kama Ulaya. Kama unataka kwenda tubadilishiwe ya kufanya ya<br />
kwenda.<br />
Ya tano tunapenda ile wakubwa yote ile imeandikwa na serikali asikae, baada ya miaka kumi. Atolewe awekwe mwingine<br />
nafasi ten years retire apewe ingine, awache mwengine haya. Ya inne tunaomba ambaye sisi ambaye hatuna kazi ile serikali hata<br />
kama amekosa hafasi ya kupatia sisi apatie sisi pocket money kidogo andikie sisi yaani welfare kidogo ya kulisha watoto.<br />
Ya sita ya mwisho tunaomba ambaye ile ambaye kina mama ile wako na yatima yote ili wazaidiwe waandikiwe kitu ambaye ya<br />
kuelimisha watoto yake. Kitu kama fifty bob. Ya mwisho naomba ile wazee wajiwezi ambaye wako nyumbani yote ama wale<br />
ambaye hawajiwezi yote ili wapatiwe mzaada kwa pande ya serikali.<br />
Com. Swazuri: Baya Hassan Ibrahim Hassan. Okay patia huyo mzee.<br />
Hassan Ibrahim Hassan: Ah mimi naitwa Hassan Ibrahim Hassan. Kutoka mji hii ya Mandera Central location in Central<br />
division in Mandera district of North Eastern province na mimi ningetaka kutoa maoni zangu ifuatavyo. Kitu ya kwanza mimi<br />
nataka naomba sheria yetu mpya itunze ardhi yetu ambayo imetengwa bila kazi, kama vile ardhi kubwa ambaye inakaa kati ya<br />
Wajia na Madokashi kama ambayo inaitwa Wazo Irrigation ifunguliye Wazo Irrigation Scheme, katika hiyo area, ili tupate kazi<br />
katika hiyo area na wanainchi waweze kujizaidia kutokana na mapato kutoka hiyo area.<br />
Ya pili mimi ningetaka Serikali yetu tukufu katika hii sheria mpya itie maanani kabisa haki ya vijana haswa youth groups na<br />
91