15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

kunyanyasa. Ya inne university sisi anaambiwa tunasoma tunalipa pesa hakuna mahali tunaenda. Hatupewi hiyo chance hata ya<br />

university na watoto wamepita. Tunataka sheria mpya university tupewe kiwango kama watu wengine university kama apana,<br />

tutupilie mbali hii maana ya elimu yote katika hii province.<br />

Ya inne hakuna kusema ati ile kiwango inagawa kila kitu inaenda kwa katika hii province tuko na MP kama kumi na moja na<br />

nne ile iko maana yote natoka garissa kila kitu natoka garissa ambayo ni province tunataka hata kama ni office of the president<br />

hata kama ni minister nominated MP lazima tupewe tuketi kitu moja. Mandera ipate moja Wajia ipate moja Garissa ipate moja.<br />

Hapana kusema kila kitu naweka we, hii watu naharibu wakati yangu. Kila kitu nawekwa Garissa yakuwa resorce man ni yeye<br />

waziri ni yeye DCc ni yeye. Sasa tutaongea sisi watu wa Mandera nini hata hawa wengi yako utalaumu bure hawesi jua swali<br />

yote hata DC ni hawa.<br />

Moja nabaki tafadhali baado ingine DC sheria mpya hii tuwekewe maanani ya kuwa hatutaki mtu yeyote ambaye hatatoka kuja<br />

mahali ingine kufanya. Watoto wetu wamesema wapewe mamlaka ya DCs and PCs ikiwa anatoka murang’a ana kuja anakuja<br />

hapa (inaudible)-------- anapora pesa inaenda DC anaenda kujenga Kisii na tunagojea ati million kumi tumepewa na serikali<br />

naanbiwa fanyeni kazi millioni kumi yenu na million kumi DC amechukua. Wewe ukienda dc permanent secretary tena ni Mkisii<br />

utaenda wapi ukistaki hiyo DC.<br />

Com.Swazuri: Imeisha dakika tano yako imeisha Mimi nahesabu hapa usione nasema tu. Tafadhali sawa haya asante. Hiyo<br />

tumeskia tumeskia hiyo haya asante andika majina yake huyo mzee haya ngoja Ali Osman Omar Ahmed S Hussein dakika tano<br />

tafadhali ee.<br />

Ahamed S Hussein: Assalamu aleykum, Mara ya kwanza ya kuomba tunataka kitambulisho tupate na kazi. Ya pili tunataka<br />

ile mtu ambaye amechaguliwa mara ya kwanza ya pili asirudi kama ni bunge kama ni president kwa sababu wenzake wakule<br />

maanake sisi wote tunataka kula, hata sisi tuko na njaa. Mara ya tatu kitambulisho tufanyiwe kama passport ya kwenda kila<br />

mahali. Akubaliwe kupanda hata kama ni ndege na kwenda kama Ulaya. Kama unataka kwenda tubadilishiwe ya kufanya ya<br />

kwenda.<br />

Ya tano tunapenda ile wakubwa yote ile imeandikwa na serikali asikae, baada ya miaka kumi. Atolewe awekwe mwingine<br />

nafasi ten years retire apewe ingine, awache mwengine haya. Ya inne tunaomba ambaye sisi ambaye hatuna kazi ile serikali hata<br />

kama amekosa hafasi ya kupatia sisi apatie sisi pocket money kidogo andikie sisi yaani welfare kidogo ya kulisha watoto.<br />

Ya sita ya mwisho tunaomba ambaye ile ambaye kina mama ile wako na yatima yote ili wazaidiwe waandikiwe kitu ambaye ya<br />

kuelimisha watoto yake. Kitu kama fifty bob. Ya mwisho naomba ile wazee wajiwezi ambaye wako nyumbani yote ama wale<br />

ambaye hawajiwezi yote ili wapatiwe mzaada kwa pande ya serikali.<br />

Com. Swazuri: Baya Hassan Ibrahim Hassan. Okay patia huyo mzee.<br />

Hassan Ibrahim Hassan: Ah mimi naitwa Hassan Ibrahim Hassan. Kutoka mji hii ya Mandera Central location in Central<br />

division in Mandera district of North Eastern province na mimi ningetaka kutoa maoni zangu ifuatavyo. Kitu ya kwanza mimi<br />

nataka naomba sheria yetu mpya itunze ardhi yetu ambayo imetengwa bila kazi, kama vile ardhi kubwa ambaye inakaa kati ya<br />

Wajia na Madokashi kama ambayo inaitwa Wazo Irrigation ifunguliye Wazo Irrigation Scheme, katika hiyo area, ili tupate kazi<br />

katika hiyo area na wanainchi waweze kujizaidia kutokana na mapato kutoka hiyo area.<br />

Ya pili mimi ningetaka Serikali yetu tukufu katika hii sheria mpya itie maanani kabisa haki ya vijana haswa youth groups na<br />

91

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!