15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mr Abdi: Na ya mwisho Sir nimesema ya kwamba gender equality na nilikuwa nimeona mtu amesoma hapo amekuletea<br />

kitabu enyewe na sura ambaye inaonesha gender equality kweli iko lakini si kanuni katika ee inchi hii ambaye sisi Waislamu<br />

tunakaa kwa sababu huwezi kuambia mama apande miti akate matawi na wewe unakaa chini yake hiyo haiwezi kuwa gender<br />

equality kabisa na mwanaume hawezi kuruka aende maternity ward azalishe mwanamke kwa hivyo gender equality tafadhali<br />

sana iangaliwe kabisa asante sana.<br />

Audience: (inaudible)---------------------------------------------<br />

Com.Swazuri: Haya hayo ni maoni yake yeye ameiacha hapo amesema tuiangalie tu tuiangalie tu ee tuangalie haki iko wapi<br />

tumemuelewa hivyo haya sasa ni nafikiri ni wakati wa swala nilikuwa nimeuliza tufanye tuproceed namna gani kwasababu<br />

tunataka democratic ee agreement.<br />

Translator: Waxa layiri matagna oo masotukano xathana masonocona masa wa wathana.<br />

Audience: (Somali dialect) maxatiri.<br />

Speaker: Haya sisi kama kawaida ni Waislamu tutaenda kuswali lakini mimi ninamapendekezo moja kwa Commission vile<br />

tumefinywa na Kenya na miaka thelathini na tisa tuliopita hapa ninyi kidogo mumetufinya kidogo hapa leo. Kwa nia yenu ni<br />

kweli you were there in down Kenya mahali njia iiko tarmacked (inaudible)---------------wanakuja na maoni yao (inaudible)<br />

------------wanakuja na maoni yao Wakikuyu wanakuja na maoni yao kila siku mnazingirwa hivyo kwamaana wako na means<br />

ya kufika kwenu haraka unakuja hapa kwetu siku moja ama siku mbili na mnatupatia per person five minutes which is not sioni<br />

kama hiyo ni haki bwana commissioner kwa hivyo baada ya kuswali na kurudi turudiane hapo saa nane naomba mutupatie<br />

atleast ten minutes per person ya.<br />

Com.Swazuri: Sasa Bwana ngoja ngoja bwana msemaji kwanza Suleman ee bwana suleman kwanza sisi tunajua kwamba<br />

wananchi wa North Eastern province wameonewa tunajua hiyo lakini hizi dakika tano tunafanya Kenya nzima sio hapa pekee<br />

yake. Uliza watu wa central province uliza watu wa Coast tumeenda uliza watu wa Eastern. Kila mtu tutampatia dakika tano<br />

kwasababu wananchi wapate nafasi. Kwa hivyo sisi tuna propose turudi hata saa saba na nusu saba na nusu sio saa nane saa<br />

saba na nusu na tuwe na nyinyi hapa saa sita sa usiku haya.<br />

Com.Swazuri: Tutaanza na huyu mzee ambaye hakuandikishwa jina lake lakini alikuwa mtu wa kwanza kufika Mzee Abdi<br />

Boru. Utasema kwa lugha gani?<br />

Abdi Boru: Borana.<br />

Com.Swazuri: Kiborana.<br />

Translator:<br />

Com.Swazuri: Kiswahili we nasema haya yule atatranslate atumie hii microphone.<br />

Audience (inaudible)------------ xaga iskafadi aniga aya kuxainaya.<br />

Mr Abdi: Asalam aleikum<br />

Audience: Aleikum salam.<br />

Mr Abdi: Mimi naitwa Abdi Boro Guyo mimi nineteen nineteen fourty kama mimi naendesha kazi ya military. Kisha mimi<br />

natoka military nakaa hayo wakati nakamata kina Kenyatta nakaa naye logitang miaka tano. Kenyatta, Fred kubai, Ndolo<br />

ngeithi,msichana yake Kenyatta na bibi yake.leo katika Kenya ninyi wageni. Kwasababu<br />

45

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!