15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Translator: Mambo za ardhi: Kuna watu wachache ambao wanamiliki ardhi nyingi katika mji hii wa Mandera hivi sasa<br />

kuna maplots ambaye wanainchi wanakaa na wameka kwa miaka kumi miaka kumi na mbili mpaka miaka kumi na tano na<br />

watajiri fulani wameenda Nairobi wamejitengenezea cheti na wanamiliki hizo ardhi. Tunataka sheria ambayo inaweza kulinda<br />

haki ya maskini haki ya mtu wa kawaida ili anaweza kupata mahali kuka na ile plot anakaa kwasababu yeye hana uwezo ya<br />

kuenda Nairobi pengine kujitengenezea hizo kartasi. Mwingine ambaye iko na uwezo anaenda kujitengenesea hizo cheti<br />

anakuja kuondosha wewe katoka ardhi kwa hivyo tunataka sheria ambayo inaweza kulinda watu ambao hawana uwezo kama<br />

hii ya kwenda Nairobi.<br />

Com.Swazuri: Ya mwisho.<br />

Councillor Kartuma: Sasa ya mwisho sisi kama ni Muislamu na taka. In sharcigena muslimka in unaxukumo oo Khadiga in<br />

uxogeisto an rabna lakin waxan rabna anaga Mandera ayan kudalaney muslina wanaxay dinti oo ninka Mombasa jogo u aqriste<br />

ninki Mandera jogo wuaqristey waxan rabna Khadigena in u noctho Khadi Mandera kudashey oo kuaqristey sas ayan rabna.<br />

Translator: Basi ya mwisho nasema sisi ni Waislamu dini yetu ni ya Kislamu tunaishi hapa Mandera. Upande wa Kadhi sisi<br />

tunataka ile Kadhi anatoka Mandera hatutaki kadhi ambayo ametoka mahali zingine kama ni Mombasa kama ni Nairobi hata<br />

kama ni mahali ingine kwa hivyo ile offisi ya Kadhi tunapenda sheria itukubalie tuwe na kadhi ambaye inatoka katika Wilaya ya<br />

Mandera.<br />

Com.Swazuri: Haya na mko na watu wenu wamesoma wanaqualify kuwa Kadhi?<br />

Audience: (inaudible)<br />

Com.Swazuri: Asante sana councilor. Mohamed Diis Abdilahi? Mohamed Dil Abdilahi haya<br />

Audience: (inaudible)<br />

Mohamed Abdilahi: (Somali dialect) Bismilahi Rahmani Rhim. Afsomali ayan kuxathla aniga. Bismilahi Rahmani Rahim.<br />

Waxan kaxathlaya dibka jiro sithi logabixilaxa ayan kaxathlaya.<br />

Translator: Anataka kutoa maoni zake ku ili kutoka katika ile taabu tunazo sasa aye.<br />

Mr Mohamed: Anaga waxan naxay thath xola daqata eh, xolaxana waxa wayey bertaini iyo bunkaini waye waxan rabna in an<br />

uxelno suq in an uxelno.<br />

Translator: Sisi ni wafugaji, kahawa yetu majani yetu ma ngombe yetu yote ni hizo mali tunataka ile sheria inaweza<br />

kutuwezesha tupate soko ya hizo mifugo zetu.<br />

Mr Mohamed: Hasa suq waxan wellibo larabno waxa waye dulkan Kenya gel lagamaistacmalo anaga umba istacmalna in gel<br />

becisa xilibkisa sithi xolaxa kaley loqathayo thiwata in an suq uxelno ayan rabna.<br />

Translator: Haswa ile soko tunaitafuta ni ya ngamia. Walio wengi katika Kenya hawajui maana ya ngamia sisi ndio<br />

tunatumia ngamia na ile mali yetu ya kwanza kabisa ni ngamia haswa tunataka sheria yakutambua ngamia na utupatie soko la<br />

ngamia.<br />

Mr Mohamed: Meshan ila Malkamarey anaga beraxa ya la istacmala, beraxa ayaga xa dhadka weykurafathen sababta bera<br />

dulkakaley wa Title Deed oo Ingiriska. …(inaudible) dulkena waxba kamabaxo walagurafathey Tittle Deed ayan urabna<br />

dulkas.<br />

28

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!