JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Translator: Mambo za ardhi: Kuna watu wachache ambao wanamiliki ardhi nyingi katika mji hii wa Mandera hivi sasa<br />
kuna maplots ambaye wanainchi wanakaa na wameka kwa miaka kumi miaka kumi na mbili mpaka miaka kumi na tano na<br />
watajiri fulani wameenda Nairobi wamejitengenezea cheti na wanamiliki hizo ardhi. Tunataka sheria ambayo inaweza kulinda<br />
haki ya maskini haki ya mtu wa kawaida ili anaweza kupata mahali kuka na ile plot anakaa kwasababu yeye hana uwezo ya<br />
kuenda Nairobi pengine kujitengenezea hizo kartasi. Mwingine ambaye iko na uwezo anaenda kujitengenesea hizo cheti<br />
anakuja kuondosha wewe katoka ardhi kwa hivyo tunataka sheria ambayo inaweza kulinda watu ambao hawana uwezo kama<br />
hii ya kwenda Nairobi.<br />
Com.Swazuri: Ya mwisho.<br />
Councillor Kartuma: Sasa ya mwisho sisi kama ni Muislamu na taka. In sharcigena muslimka in unaxukumo oo Khadiga in<br />
uxogeisto an rabna lakin waxan rabna anaga Mandera ayan kudalaney muslina wanaxay dinti oo ninka Mombasa jogo u aqriste<br />
ninki Mandera jogo wuaqristey waxan rabna Khadigena in u noctho Khadi Mandera kudashey oo kuaqristey sas ayan rabna.<br />
Translator: Basi ya mwisho nasema sisi ni Waislamu dini yetu ni ya Kislamu tunaishi hapa Mandera. Upande wa Kadhi sisi<br />
tunataka ile Kadhi anatoka Mandera hatutaki kadhi ambayo ametoka mahali zingine kama ni Mombasa kama ni Nairobi hata<br />
kama ni mahali ingine kwa hivyo ile offisi ya Kadhi tunapenda sheria itukubalie tuwe na kadhi ambaye inatoka katika Wilaya ya<br />
Mandera.<br />
Com.Swazuri: Haya na mko na watu wenu wamesoma wanaqualify kuwa Kadhi?<br />
Audience: (inaudible)<br />
Com.Swazuri: Asante sana councilor. Mohamed Diis Abdilahi? Mohamed Dil Abdilahi haya<br />
Audience: (inaudible)<br />
Mohamed Abdilahi: (Somali dialect) Bismilahi Rahmani Rhim. Afsomali ayan kuxathla aniga. Bismilahi Rahmani Rahim.<br />
Waxan kaxathlaya dibka jiro sithi logabixilaxa ayan kaxathlaya.<br />
Translator: Anataka kutoa maoni zake ku ili kutoka katika ile taabu tunazo sasa aye.<br />
Mr Mohamed: Anaga waxan naxay thath xola daqata eh, xolaxana waxa wayey bertaini iyo bunkaini waye waxan rabna in an<br />
uxelno suq in an uxelno.<br />
Translator: Sisi ni wafugaji, kahawa yetu majani yetu ma ngombe yetu yote ni hizo mali tunataka ile sheria inaweza<br />
kutuwezesha tupate soko ya hizo mifugo zetu.<br />
Mr Mohamed: Hasa suq waxan wellibo larabno waxa waye dulkan Kenya gel lagamaistacmalo anaga umba istacmalna in gel<br />
becisa xilibkisa sithi xolaxa kaley loqathayo thiwata in an suq uxelno ayan rabna.<br />
Translator: Haswa ile soko tunaitafuta ni ya ngamia. Walio wengi katika Kenya hawajui maana ya ngamia sisi ndio<br />
tunatumia ngamia na ile mali yetu ya kwanza kabisa ni ngamia haswa tunataka sheria yakutambua ngamia na utupatie soko la<br />
ngamia.<br />
Mr Mohamed: Meshan ila Malkamarey anaga beraxa ya la istacmala, beraxa ayaga xa dhadka weykurafathen sababta bera<br />
dulkakaley wa Title Deed oo Ingiriska. …(inaudible) dulkena waxba kamabaxo walagurafathey Tittle Deed ayan urabna<br />
dulkas.<br />
28