15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

wakijaribu kufanya hii kazi ya kuelimisha watu.<br />

Kwanza magazeti inafaa wazaidiwe sana kwasababu watu wa sasa serikali imesema cost sharing hapa hakuna Information<br />

Officer na offisi yao kuna secretary moja sisemi hiyo kukashifu lakini ni ukweli na ni cost cutting ya serikali kwa hivyo inafaa<br />

serikali isaidie wale watu wataanza NGOs ya kuelimsha watu kwa vile wakati wa sasa serikali imeenda kinyume nikisema<br />

hivyo ni ile sheria imeweka kwa bunge kikinyume bila kujulisha hawa yaani tuseme mtu akitaka kuanza magazeti yake kidogo<br />

lazima aweke pesa hundi nono na shida zingine ya journalist kwahivyo tunataka serikali izaidie watu sana kwanza library ipanue<br />

mobile library na isifanye hiyo sheria irudi kutoka kwake ibadilishe and that was just in short the other one is kuhusu education<br />

yetu hiyo ni mwisho.<br />

Education yetu naoni si is not friendly where by even in the school there are 4Kclub wanafundishwa mambo ya ushambani je?<br />

Kwanini hawafundishwi mambo ya ukulima kwanini hapana ita mtu kama Daktari Korar ambaye anajua kutibu hizi mifupa<br />

kwanini hawaleti mzee naitwa mi naita yeye Daktari Shabeno ambaye wanaweza kufundisha hao mambo ya mamiti na<br />

kujitafutia kazi ni mzuri serikali imeona sasa uzuri ya daktari ya miti shamba kwa hivyo naonelea vijana wetu kuanzia utotoni<br />

kufundishwa mambo ya pastrolism na elimu ya kikwao hapo nashukuru wanainchi na wale macommissioners ambaye<br />

natembelea sisi karibuni asante.<br />

Com.Swazuri: Sasa tunaenda kwa Abdi Asisi hayuko, we unawajua wote I don’t need it any way thank you. Mohamed<br />

Iibrahim hayuko? Abdi Baraka osman hayuko Suleiman Mohamed. Haya ni wewe haya haya we ni mtu wa mpira? KFF haya.<br />

Suleiman Mohamed: Thank you commissioners mimi kwa jina naitwa Suleiman Mohamed Isaack. Ningependa kutoa maoni.<br />

Haya kwanza ni swali kabla sijatoa maoni yangu na nafikiri I am not mimi siyo professional lakini kwa Katiba nafikiri Kenya<br />

imeandikwa it’s a Christian state imeandikwa dini gani kwa hivyo kama kulikuwako Kenya imeandikwa Christian state ndio<br />

ningepinga kwa maana tuko na thirty percent of muslim population (inaudible) ------ wale hawana dini ni (inaudible)-----<br />

Wakristo ni hamsini kwahivo hatuwezi kusema Kenya ni Christian state.<br />

Ya pili ya kwanza president must be executive kwa maoni yangu and he should be not above the law. Na mimi nasema hivi mtu<br />

yeyote ambaye anachaguliwa awe rais awe bunge awe concillor ama anashika mamlaka kubwa kubwa katika serikali ile mtu<br />

hakuna dini asipewe cheo yoyote hata kama ako na masomo ya aina gani kwamaana mtu akiwa na dini ako na imani Fulani,<br />

awe ni Mkristu awe ni Muislamu iko mpaka fulani itamkatazia azifanye maovu ile angetaka kufanya. Kwa hivo mtu kama<br />

(inaudible)-------- kama Richard leakey no.<br />

Mambo ngine mimi nataka powers for minister of local government iwe reduced kwa maana tunachagua madiwani tunakuwa<br />

na county council tunakuwa na town council kwa sababu fulani ambaye isiyojulikana minister amaamuka ako na uwezo<br />

anasema hiyo cuncil nimefanya commission kwa hivyo those powers tunataka iwe reduced kwa maana wale nafanya<br />

commission ni wale wamechaguliwa kama yeye. Ya tatu tunataka parastatols head kama ambassadors wakiteuliwa waletwe<br />

kwa bunge bunge ipitishe sindio sa hii mtu akuwe ambassador ama akuwe managing director ya parastatols.<br />

Ya tano Kadhi alikuwa amesema hiyo maneno our environment imekuwa distabed early nineteen eighty kuna exploration<br />

company imetumwa hapa hafikiri hii hall ni zaidi kuna zehemu katika wajia district inaitwa hadado na harjida mtoto amezaliwa<br />

tangu hiyo company ilikuja yaani wanachimba ardhi ikifika kiwando fulani Wafrika wote wanasanywa kwa gari wanajaa msito<br />

hiyo mahali leo mahajabu kwa maana sisi we are marginalized area hakuna press wana tu cover utakuta mtoto hana hii mguu<br />

84

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!