JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
performing MPS ile mbunge ambaye hawezi kufanya kazi yake vile anatakikanwa tunataka sisi wanainchi tupewe empowerment<br />
ya kuondoa yeye kwa kiti.<br />
Alafu mambo ya pande ya political parties mimi nataka mapolitical parties yote wapatiwe pesa ya kitu kama public fund we<br />
want a funding of all political parties alafu mambo ya civil servants teachers mimi nataka weekly wages to be introduce for civil<br />
servant na constitution in order to cut corruption and to bring efficiency. Hizo ndio maoni yangu nasema asanteni sana.<br />
Com. Swazuri: Abdulahid Abdulla yule kule.<br />
Abduwahid Abdulla: Asante salam aleikhum. Mimi kwa majina naitwa Abduwahi Alan Abdulla yangu siyo mengi ni machache<br />
tu, Ya kwanza nitaongea juu ya nidhamu ya serikali yaani formation of the government vile system ambayo tunaitaka ile system<br />
ambayo tunaitaka serikali ichaguliwe nadhamu ya kwanza ambayo ilikuwa mbeleni ilikuwa raia inakubaliwa tu wachague bunge<br />
other formation hatuna habari sasa tunataka hivi constitution ikuwe ipate nadhamu ya kuwa ipatika nadhamu yetu ya kuwa raisi<br />
asichague head of civil servant pekee yake yaani ipatikane wapunge kati ya wapunge ipatikane a special commission ambaye<br />
watachagua Head of Civil Servant Head of Judiciary hata kama ni port authority kwa vile resource muhimu hi political position.<br />
mtu ambaye anashikilia mahali nzuri ndio anatuangamiza tunaisha sas lazima ipatikane katika bunge special commission ambayo<br />
wanachagua head of civil servants hata kama labda mimi ni –(inaudible)----- ya port authority judiciary all those things<br />
(inaudible)--------------------<br />
Ya pili under education katika Kenya kuna three types of education sisi ambaye tunajua mambo ya Waislamu upande ya<br />
Waislamu kuna system moja ya madarasa ambayo serikali ya Kenya hafahamu ama they don’t recognise tunataka Constitution<br />
ipatie fursa ya kwamba hio kama wanainchi wa Kenya pia wa to be recognized tutampulishwe teachers to be paid and special<br />
service commission to be formed under Ministry of Education ambayo inahudumia both certificate and paying are also included<br />
in the pay role yaani pande ya elimu ya madarasa.<br />
Ya tatu Kadhi is going to be strengthen in powered kwa vile sisi sasa tunajua ya kwamba Kadhis Court wana the only rule<br />
three cases ambayo ni divorce, engagement and adultery mambo ya inheritance tunataka other immoralities like abuses drugness<br />
adultery yote iongezwe ili apate fursa na apate jukumu kubwa katika Islamic community. Ile ingine ya secular education pande<br />
ya Ministry of Education tunataka pia hii system ya 8-4-4 ibadilishwe ikuwe continuous way of education yaani hakuna mambo<br />
ya form four O level yaani continuos mpaka university yaani mambo ya to make people fail katikati unafika standard eight<br />
people have become failier someboduy might lose hope sasa instead of giving them, demorolise them we make a system<br />
continuous system standard one to eight form one to form four university yaani hakuna mambo ya failier continuous work tutupe<br />
mambo ya 8-4-4 system asanteni sana<br />
Com. Swazuria: Ali korisa hayuko? Abdirahim Adawa Ishmael Ahmed Lakicha/.<br />
Ismael Ahmed Lakicha: Asante kwa kunipatia hii nafasi.<br />
Translator: (Somali dialect Translation)<br />
Ishmael Ahmed: Magaceiga waxa wayey Ismail Ahmed waan kasoctha Garikorome.<br />
Translator: Anaitwa Ishmael Ahamed Lakicha.<br />
Ishmael Ahmed: Gara koromey wa dhad thagago Mandera galey.<br />
Translator: Anawakilisha kabila ingine ya huko (inaudible) ----------- anaitwa Garikorome ambaye anaishi area hii.<br />
78