15.11.2012 Views

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

JUNE, 3RD 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Translator: Ila xatana wax xaq oo wali laisiyeyey majirta xata carki shaqatha wan xaista wali.<br />

Hussein Bary: Na nimeumia mpaka nimelemewa natembea na wheel chair.<br />

Translator: Wan jaawey ila na xata kusoctho kursan.<br />

Hussein Bary:Na nina watoto.family.<br />

Translator:Carur iyo xas bu leyaxay<br />

Hussein Bary: Mshahara nina katwa baada ya mwezi tatu.<br />

Translator: Aniga oo curiyan eh aya misharka laigayoyey.<br />

Hussein Bary: Niliambiwa ukifanya kazi mda kidogo serikali unapata shillingi sabini na tano pension.<br />

Translator: Mathama adh dhowlada ushaqeisey pension waxu noqonaya thowowatan iyo shan shilin.<br />

Hussein Bary: Nikapatiwa nikapatiwa thirtyeight thousand ati niliambiwa wewe ni hundred percent capacity unaenda retire on<br />

medical ground unapatiwa shilling alfu thalathini na nane peke yake.<br />

Com.Swazuri: Tunataka utuambie unataka tufanye nini usaidiwe.<br />

Hussein Bary: Mimi naongea kwa niaba ya disabled ambao wataumia siku sijazo na ambao walioumia sasa hivi. Mimi<br />

nachukua, naongea kwa niaba ya watu wote.<br />

Com.Swazuri: Ndio na sema ni sawa kungea kwa niaba ya watu wote lakini unataka watu watakao umia au walio umia<br />

wafanyiwe nini.<br />

Hussein Bary: Watu walioumia walipwe malipo kama mtu yu hai. Apatiwe pesa ambayo inawatosha mbaka siku za maisha<br />

yake. Ya pili nataka watu ambao wanatembea na vilema wanatembea na viti watoto wao wapate masomo bure mpaka<br />

university.<br />

Translator: Marka waxan rawa in dhadki sas udawacmey inxaqotha dhurbawa lasiyo oo carurthothana ey dhowlada taclin<br />

galiso.<br />

Husseini Bary: Ya pili tunataka kushirikishwa tuseme kwa siasa tupatiwe nominated councilor tupatiwe nominated MP ili<br />

tupate mtu ambaye anatutetea. Yani kama sisi ni jamii ya walemavu.<br />

Translator: Waxan rabna in barlamanka nalugutharo oo nominated Councillor nalagadigi si an cothkena an udiwano.<br />

Hussein Bary: Isitoshe kuna tuseme ee kikundu ambao wanajiita NDDK ambayo imetengenezwe na serikali kuna dollars<br />

wanalipwa kila siku inapeanwa pesa tunaona kwa magazeti haitufiki kwa walemavu hata gazeti tuko nayo hapa sasa hivi<br />

inaweza kuonyesha ninyi. Hapa hapa fifty million ilipeanwa na Danish pamoja na ambassador ya Germany hakuna pesa<br />

amabayo tumepata ndio hii kwa gaseti hata munaweza kupiga picha muchukue ni millioni hamsini fifty million, ingetosha katika<br />

tuseme katika Kenya tuko na ee province nane. Tungepata millioni sita North Eastern hakuna kitu tunapata. Kila siku ni namna<br />

hii tunaona kwa gaseti na walemavu hakuna kitu chochote ambao wanapata.<br />

Translator: Waxu yiriy markasta lacag ayalabixi oo curanka lasiya lakina anaga NorthEastern waxba nalagamasiyo.<br />

Hussein Bary: Isitoshe hawa watu jirani yetu wanapata vifa ya kutembea naye kama tuseme motobike ya mguu mbili, mguu<br />

tatu ambayo iko hapo mbele nimenunua kwa watu jirani mimi nimefanya mchango na watu wenzangu nimenunua kwa watu<br />

jirani. Sisi hatupati, katika kenya unaona walemavu wanajikokota chini na hakuna kitu chochote ambayo wanapata.<br />

8

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!