08.06.2013 Views

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako - Family Care International

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako - Family Care International

Wewe Maisha Yako Ndoto Zako - Family Care International

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

108<br />

WEWE, MAISHA YAKO, NDOTO ZAKO<br />

Kutunza Afya <strong>Yako</strong><br />

Ya Kiujinsia<br />

Stabisile kutoka Zimbabwe (umri: miaka 19)<br />

“Mwili wangu ni wa pekee kwangu. Ninaulinda dhidi ya magonjwa<br />

ya ngono, VVU na mimba.”<br />

Mwili wako vile vile ni wa pekee. Je, unaulinda? Yapo mambo mengi unayotakiwa kuyajua<br />

kuhusu kuishi na afya nzuri na kujilinda mwenyewe dhidi ya matatizo ya afya ya uzazi.<br />

Watu wengi wanapofikiria matatizo ya afya ya uzazi, wanafikiria magonjwa ya ngono na<br />

VVU/UKIMWI tu. Haya ni matatizo ya hatari kwa hiyo ni wazo zuri kujua namna ya kujitunza<br />

na jinsi ya kuepuka majanga.<br />

MaGOnjWa Ya nGOnO<br />

Magonjwa ya ngono ni magonjwa ambayo<br />

yanaambukizwa kwa njia ya kujamiiana<br />

au kwa kufanya ngono. Yapo magonjwa ya<br />

ngono yanayosabisha vidonda, uvimbe au<br />

malengelenge wakati yapo mengine ambayo<br />

hayaonyeshi dalili zozote.<br />

Magonjwa ya ngono yanaenea kwa kupitia<br />

mgusano wa majimaji ya watu wawili – shahawa,<br />

majimaji ya ukeni na damu – na kupitia mgusano<br />

na ngozi iliyoathirika. Magonjwa ya ngono<br />

yanaweza kuenezwa kutoka kwa mwanaume<br />

kwenda kwa mwanamke, na kutoka kwa<br />

mwanamke kwenda kwa mwanaume na hata<br />

kati ya watu wawili wa jinsi moja.<br />

Ugonjwa uenezao kwa ngono uliombaya zaidi<br />

kuliko yote ni VVU/UKIMWI. Hakuna sindano<br />

ya kinga na hakuna dawa unapokuwa umepata<br />

maambukizi. Watu wengi wanakufa ndani ya<br />

miaka 10 mpaka miaka 20 baada ya maambukizi<br />

ya VVU.<br />

109<br />

SURA YA 10

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!