Wewe Maisha Yako Ndoto Zako - Family Care International
Wewe Maisha Yako Ndoto Zako - Family Care International
Wewe Maisha Yako Ndoto Zako - Family Care International
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
i<br />
© Ubora wa Afya kwa Familia Duniani, 2009.<br />
WEWE, MAISHA YAKO, NDOTO ZAKO Shukurani<br />
Taasisi za kujitolea zinaruhusiwa kutumia kitabu hiki kwa kutoa nakala au nukuu lakini<br />
hawaruhusiwi kuuza nakala hizo. Ubora wa Afya kwa Familia Duniani wangependa kuona<br />
wanatajwa kwenye nukuu au nakala hizo kama wamiliki wa kitabu hiki.<br />
Kwa kupata nakala zaidi kitabu cha <strong>Wewe</strong>, <strong>Maisha</strong> <strong>Yako</strong>, <strong>Ndoto</strong> <strong>Zako</strong>: Kitabu cha Vijana Balehe,<br />
tafadhali wasiliana na wafuatao:<br />
<strong>Family</strong> <strong>Care</strong> <strong>International</strong>-Kenya<br />
Anwani: S.L.P 45763<br />
00200 Nairobi, Kenya<br />
Simu:. (254-20) 4443167<br />
Simu ya upepo: (254-20) 4443204<br />
Barua pepe: fcikenya@fcimail.org<br />
Tovuti: www.familycareintl.org<br />
<strong>Family</strong> <strong>Care</strong> <strong>International</strong><br />
588 Broadway,Suite 503<br />
New York,NY 10012<br />
Simu:. (1-212) 941-5300<br />
Simu ya upepo: (1-212) 941-5563<br />
Barua pepe: fcipubs@familycareintl.org<br />
Kitabu cha <strong>Wewe</strong>, <strong>Maisha</strong> <strong>Yako</strong>, ndoto <strong>Zako</strong> ni tafsiri ya “You, Your life, Your Dreams”<br />
kilichoandikwa kwa mara ya kwanza mwaka 2000 na shirika la “<strong>Family</strong> <strong>Care</strong> <strong>International</strong>”<br />
lenye Makao Makuu Mjini New York, nchini Marekani kwa kushirikiana na shirika la “Straight<br />
Talk Foundation” la Uganda. Toleo la awali kabisa liliandikwa na catharine Watson Mkurugenzi<br />
Mhariri wa “Straight Talk Foundation” kwa kushirikiana na ellen brazier ambaye wakati huo<br />
alikuwa Mkurugenzi wa Programu ya Afrika ya Mashariki katika Shirika la Ubora wa Afya kwa<br />
Familia Duniani.<br />
Tafsiri ya kitabu hiki iliwezeshwa kwa msaada wa shirika la “Tanzania German Programme to<br />
Support Health” (tGPSh) kupitia “Reproductive Health Component (Repro/GTZ)”. Kupiga chapa<br />
kitabu hiki kuliwezeshwa kwa msaada wa Richard and Rhoda Goldman Fund. Japo uratibu wa<br />
kutafsiri kitabu hiki ulifanywa na bi Rehema l. Mwateba, aliyekuwa mratibu wa Shirika la Ubora<br />
wa Afya Kwa Familia Duniani; watu wengi walishirikishwa. Shirika la “<strong>Family</strong> <strong>Care</strong> <strong>International</strong>”<br />
kwa kupitia ofisi yake ya Ubora wa Afya kwa Familia Duniani Tanzania linawashukuru wafuatao<br />
kwa mchango wao mkubwa katika kufanikisha tafsiri hii:-<br />
Kwanza kabisa Shirika la Ubora wa Afya kwa Familia Duniani linawashukuru wafuatao kwa<br />
kufanya tafsri na kupitia maandishi na michoro ya kitabu hiki:-<br />
•<br />
•<br />
•<br />
•<br />
•<br />
Bi. Margreth Mtafya Kilembe kwa kufanya tafsiri kutoka lugha ya Kiingereza kuwa Kiswahili.<br />
Bi. Benadicta Maganga kwa kupitia muswada kwa mara ya kwanza.<br />
Bwana Michael Kadege kwa kupitia muswada kwa mara ya pili.<br />
Bwana Abdalla Athumani Mhagama kwa kuratibu shughuli za mapitio ya wasomaji<br />
mbalimbali na kutupatia maoni ya wasomaji.<br />
Bwana Sunnny Kiluvia na Bwana Elikunda Matteru kwa kupitia muswada baada ya wasomaji.<br />
Kwa kuwa si rahisi kumtaja kila mtu aliyeshiriki kwa namna moja au nyingine katika uandishi wa<br />
kitabu hiki, shirika linapenda kuwashukuru walioshiriki kuratibu shughuli za wasomaji sehemu<br />
mbalimbali nchini Tanzania:-<br />
•<br />
•<br />
•<br />
•<br />
•<br />
•<br />
•<br />
•<br />
•<br />
Bi. Lucy Ikamba aliyewaratibu wasomaji wa mradi huko Mbeya Vijijini.<br />
Bi. Catherine Ndawi aliyewaratibu wasomaji, Mbeya Manispaa.<br />
Bwana Ole Sepere aliyewaratibu wasomaji, wilaya ya Pangani.<br />
Bi. Emiliana Malambugi aliyeratibu upatikanaji wa maoni ya wasomaji kutoka kwa viongozi<br />
wa madhehebu ya dini.<br />
Bwana Benard Msami aliyewaratibu wasomaji, walimu wa shule za msingi - Turiani, Morogoro<br />
Vijijini.<br />
Bwana Dickson Reginald Ituwe kwa utaalamu wake wa kupanga maandishi katika kompyuta.<br />
Bwana Juma Lugendwa kwa kuchora upya picha zilizoombwa kurudiwa na wasomaji.<br />
Bwana Stanley Matteru na Richard Ndago kwa mchango wao katika utawala.<br />
Bi. Margret Mbede na Bi. Dawa Mhagama kwa mchango wao katika uchapaji.<br />
ii