12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Com. Abubakar : Kwa hivyo unaunga mkono hiyo.<br />
Mr. Francis arap Koech : Naunga mkono asirudi asipewe nafasi.<br />
Com. Abubakar : Sawa uende ujiandikishe pale Mzee. Lakini hiyo karatasi ni yetu sasa.<br />
Com. Ayonga : Hiyo, hiyo.<br />
Com. Abubakar : Utuwachie tutafanyia kazi hiyo karatasi uiwache pale iwekwe kwa file.<br />
Mr. Francis arap Koech : Haya wazee.<br />
Com. Abubakar : Asante sana Mzee. Dada uko tayari sasa.<br />
Speaker : Haya jina yangu<br />
Com. Abubakar : Haya akimaliza huyu Mzee nitakupa nafasi dada halafu ndio ni rudi kwako Mzee, sawa?<br />
Speaker : Ng’olyondenyun ko in…<br />
Com. Abubakar : Mtu wa kutafsiri aje karibu.<br />
Speaker : Ng’olyondenyun ko…<br />
Com. Abubakar : Ngoja Mzee.<br />
Mr. Zakayo Rono : Jina yangu ni Zakayo<br />
Mr. Zakayo Rono : Ng’olyondenyun amache kesoman…<br />
Com. Abubakar : Wale wanao zungumza hapo nyuma waache kuzungumza au waende kando tafadhali.<br />
Mr. Zakayo Rono : Ng’olyondenyun amache kesoman kong’eten kilasit agenge mpaka university.<br />
Translator : My suggestion is that people should learn from standard one to university.<br />
100