12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis arap Koech : Naunga mkono natural resource igawanywe wote wale karibu na hao kama forest, apewe<br />
County Council ya area hiyo.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis arap Koech : Hii land Certificate hii land Title Deed, Title Deed itolewe kwa watu wawili Bibi na mama,<br />
wakati huyo...<br />
Com. Abubakar : Bibi na Bwana...<br />
Mr. Francis arap Koech : Bibi na Bwana sorry, Bwana na Bibi iandikiwe hao wote maana mwengine akitoka mwengine<br />
anasumbuliwa ku patiwa.<br />
Com. Abubakar : Ya mwisho Mzee.<br />
Mr. Francis arap Koech : Ministry of Agriculture ipewe nafasi kubwa ya kuendesha kazi ya agriculture maana agriculture<br />
siku hizi imekwenda chini sana kwa sababu ya kutoelewa.<br />
Com. Abubakar : Sawa<br />
Mr. Francis arap Koech : Wanawake kuolewa mwanamke akiolewa na akitoka asirudi tena wakati Bwana akifaa<br />
apewe nafasi. Yule ambaye ametoka kama miaka tano na kuenda juu...<br />
Com. Abubakar : Hiyo imeshasemwe Mzee wangu...<br />
Mr. Francis arap Koech : Imesemwe?<br />
Com. Ayonga : Ehe!<br />
Com. Abubakar : Hauja sikia ikisemwa na mtu?<br />
Mr. Francis arap Koech : Pengine nilikua sija fika.<br />
99