12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
kurekebisha Katiba tuwe kimya kabisa, ukiwa na mazungumzo muende mbali kule muzungumze halafu mukimaliza murudi.<br />
Ndio watu wanaotoa maoni wasikike vizuri. Tu wa heshimu.<br />
Mr. Zacharia Kimei : Mimi nataka kuunga mkono huyu mzee ame ondoka maneno ya Provinces. Kuwe na Senate ya<br />
kila Province, yaani mimi naunga mkono proportional system of Government.<br />
Ya pili ni minority groups youth, women, disabled kutengewa viti katika bunge yaani denominated.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Zacharia Kimei : Ya tatu, Constitutional Supremacy hatutaki Parliament ikatekate Katiba yetu, sisi naunga<br />
tunachukua muda ya miaka mingi halafu wanakatakata kwa siku chache. Tunataka referendum kukiwa na any change.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Zacharia Kimei : Citizenship. Hatutaki wageni wawe wa Kenya halafu sisi tunakosa kazi. Kwa hivyo Citizenship to<br />
foreigners should be restricted.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Zacharia Kimei : Defence and Security. Rais ni mtu moja kwa hivyo hatutaki yeye atoe amri ya kwamba watu wa<br />
sehemu fulani wa vamiwe na wanajeshi. Tunataka kamati ya watu tisa ili wapitishe maneno ya Defence and Security.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Zacharia Kimei : Political Parties: Hatutaki multiple political parties tunataka tu political parties, the ruling and the<br />
opposing.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Zacharia Kimei : Pia nimesema Parliamentary system of Government: All appointments be vetted by Parliament.<br />
Com. Abubakar : Sawa, ya mwisho Bwana Zacharia,<br />
Mr. Zacharia Kimei : Bado bado<br />
75