12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mr. Jackson Kipng’eno kimoche toretet en oratinwek ko makitinye en emoni.<br />
Translator : Wana taka usaidizi kwa barabara, hawana barabara kwao.<br />
Mr. Jackson Kipng’eno : Ng’olyot age kora<br />
Translator : Neno lingine tena.<br />
Mr. Jackson Kipng’eno : ko mi boisiek che toreti kirwogik chebo kokwotinwek<br />
Translator : Kuna wazee wasaidizi wa Chiefs wazee wa kijiji.<br />
Mr. Jackson Kipng’eno: en emotinwek tugul.<br />
Translator : Kwa nchi yote.<br />
Mr. Jackson Kipng’eno : Ko monyoru kiy any inne ago toreti serkali. Kimoche musaada kidogo koyob serkali.<br />
Translator : Hawawezi kupatiwa chochote sasa anataka usaidizi kutoka Serikali.<br />
Com. Abubakar : Sema unataka wafanyiwe nini wazee wa kijiji, walipwe mshahara...<br />
Mr. Jackson Kipng’eno : Walipwe mshahara<br />
Com. Abubakar : Basi hiyo tu.<br />
Mr. Jackson Kipng’eno : Asante. Wana kazi yao wanafanya tu...<br />
Mr. Jackson Kipng’eno : Chebo education…<br />
Translator : Umesha sema tayari.<br />
Mr. Jackson Kipng’eno : Okay, okay kuna watoto wale wa hakuna wazazi.<br />
Translator : Mayatima umesema.<br />
29