12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Translator : Tutasoma kutoka kitabu cha mwanzo. [Genesis]<br />
Mama Sophia arap Too : Ak kaitet taman ak aeng’<br />
Translator : Mlango ya tatu.<br />
Mama Sophia arap Too : kot koit taman ak sogol.<br />
Translator : Tuanzie kumi na mbili mpaka kumi na tisa.<br />
Mama Sophia arap Too : Si ogas tuguk che mochomdoi Jehovah.<br />
Translator : Sasa inasema ya kwamba, “Bwana Mungu aka muambia mwanamke, nini hili ulilolifanya mwanamke<br />
akasema nyoka alinidanganya, nikala. Bwana Mungu akamwambia nyoka, kwa sababu umeyafanya haya umelaaniwa wewe<br />
kuliko wanyama wote, na kuliko haya, haya walio wote walioko mwituni kwa tumbo utakwenda na mavumbi utakula. Siku<br />
zote za maisha yako nami nitaweka adui kati yako na huyo mwanamke, na kati ya uzao wako na uzao wake. Huyo utaku<br />
ponda kichwa na wewe utamponda kisigino na akamuambia mwanamke hakika nitakuzidishia uchungu wangu kwa kuzaa<br />
kwako, kwa uchungu utazaa watoto na tamaa yako ita kuwa kwa mumeo naye ataku, atakutawala, akamuambia Adamu kwa<br />
kuwa umei sikiliza sauti ya mwanamke wako, ukala matunda ya mti ambayo nilikuagiza nikisema usiyale, ardhi imelaaniwa kwa<br />
ajili yako kwa uchungu uta kula mazao yako siku zote za maisha yako. Michangamo na miba itaku zalia na nawe utakula<br />
mboga za kundeni kwa jasho la uso wako utakula chakula hata utakaporudia ardhi ambayo katika hiyo uli tawalia, kwa maana<br />
huu mavumbi wewe nawe mavumbini utarudi.<br />
Mama Sophia arap Too : Ko ng’olyot nemi yon ko ne kimwoe Jehovah kwondo kolenji inyoli monung’otiot.<br />
Translator : Maneno yale ambayo tumesoma Mungu aliambia mwanamke utaangalia Bwana yako<br />
Com. Abubakar : Asante ambia mama asante sana.<br />
Translator : Asante<br />
Mama Sophia arap Too : Asante<br />
Com. Abubakar : Ndirangu uje na kitabu mama assign hapa hapa tu. Hii kitabu kijana ana kuja nayo usign. Asante sana<br />
41