07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

muhimu sana kufikia hapa. Tumechukua maoni mzuri sana na tuna jua [inaudible] lime semwa kule, hili lime semwa pale na<br />

sote tunajua shida zetu zilizoko hapa Kenya na kwa hivyo maoni yenu hayatapotelea hapa. Munapo kua muna lazimishwa<br />

kutumia hii machine ni kwa maana tunataka hili machine iko kule iweze ku-record mambo yote ambao mume sema. Na wale<br />

ambao mume fika nyuma tuna taka kuwaambia ya kwamba hakuna neno hata moja ambalo lime baki. Tuta ya chukua haya<br />

maneno yote na tutaya tumia katika urekebishaji wa Katiba yetu. Ninataka kushuru wale wote ambao wamefanya uwezekano<br />

wa nyinyi kuitwa kuja hapa. Na shukuru juu ya shule hii kwa kutupa vifaa vyao ambavyo tume tumia, nataka ku shukuru<br />

Provincial Administration kwa kuweza kushirikiana na District Co-Ordinator wetu ili kufanya mkutano huu possible. Pia wale<br />

wa 3 C’s, wale walio fanya Civil Education, na wale wote ambao wametusaidia kwa njia yeyote ndogo au kubwa nyote<br />

tunawashukuru mno. Sasa tumefika mwisho wa kikao chetu tulipo anza huu mkutano tulianza na maombi. Na tunapo maliza<br />

huu mkutano tunataka kumaliza na maombi ili Mungu atuwezeshe kwamba kazi zote ambazo zime fanyuwa maneno yote ambao<br />

mumesema ili atusaidie kwa kuweza kurekebisha Katiba yetu. Kwa hivyo ninataka kuita District Co-Ordinator, Mama<br />

unaneno la Bibilia unataka useme. Kwanza kabla mama haja sema hilo neno la Bibilia nataka kujua kama kuna ule<br />

amejitayarisha kutoa maombi [inaudible]. Ku naye? Okay tutamuita Mama aseme neno la Bibilia na pia atoe maombi ya<br />

kufunga mkutano.<br />

Ms. Sophia Too : En muguleldanyun ak en atebet ne u ni…<br />

Com. Ayonga : Kuna yule ambaye anaweza kutafsiria mama<br />

Ms. Sophia Too : Yote najua Kipsigis<br />

Com. Ayonga : Okay mama endelea.<br />

Ms. Sophia Too : Ogas o bichu… ng’alek cheu in.. ko ng’alek che kimwa Jeiso kole inorutechi nganaset ne kobe<br />

ak kotachak, kama wakiwapokea, si kor kokas toek korenyech anan kotachech.<br />

Yobe nganaset ne katachak obakach kaberuret. Lembeita ng’alechoto? Ng’anaset ne matachak oteiteite buiwet.<br />

Kibane noton okwek? Otebe. Kibane noton? Ne katachak en kiy nee? En amotwogik anan en buch?<br />

Isoe muguleldanyun amun tomogere tuiyet en Poyytechnic ireyu ne kakile bwone toek agor ko moker kebai toek. Ki<br />

oger oin en yu ak koba buch kou noton.<br />

Aini raini, kot ko kalel konyoiwon kat Jehovah, ene kirwogichu, yon kakile mi tuiyet ne u ni… Le kiasue kesomote agot<br />

en chu ki ame bik bik en ireyu, chu kiamate bik ak kolenen kimoche kinyaen ng’o, kimoche… kebendi sugul ak kelenji<br />

lagok, konetik kimoche kochangan chitugul, lakwet age tugul koib siling agenge si kinyo kikochi che kiyamech en<br />

koroni. Ii?<br />

116

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!