12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
wazee ya zamani wale ambaye walipoteza, pengine Mzee alipoteza... hakuwa na kipande, alipoteza kipande na iko na Land<br />
Transfer. Hii tungeweza kuwaachia wazee wa kijiji na Chiefs kwa sababu hawa ndio wanajua. Kuliko kumuambia atafute<br />
kipande au atafute Death Certificate na huko zamani ili kua hiyo maneno hapana iko. Tukiwaachia wazee.<br />
Com. Abubakar : Unataka mambo ya ardhi au [inaudible] wazee..<br />
Mr. Joseph Kiptum arap Koech : Waambie wazee na Assistant Chief.<br />
Com. Abubakar : Sawa<br />
Mr. Joseph Kiptum arap Koech : Distribution of land and natural resources : iwe kwa pahali hiyo vitu ili tokea kama<br />
County Council au kijiji hiyo wa-mange mali zao.<br />
Ingine ni mambo ya hii pombe ya kienyeji brewing: Kwa maoni ya wazee ambaye nimetembea nao wanasema hii maoni ya<br />
pombe ya zamani ya kienyeji, traditional drinks iwe-allowed. Halafu ma-chief wapeane mabarua kwa sababu hii mambo ya<br />
kuiba iba ndio inafanya watu wanalewa zaidi. Hiyo ni maoni ya wazee.<br />
Com. Abubakar : Nasema hiyo sio kazi ya chief sasa una sema pombe ya kienyeji ihalalishwe.<br />
Mr. Joseph Kiptum arap Koech : Ihalalishwe...<br />
Com. Abubakar : Sawa...<br />
Mr. Joseph Kiptum arap Koech : Okay...<br />
Com. Abubakar : Lakini ili ingine ya kuongezea [inaudible]<br />
Mr. Joseph Kiptum arap Koech : Okay. Tena ingine ni kwamba maneno ya ma-chief ile ya zamani, ile Chiefs Act<br />
irudishwe ikae kama zamani...<br />
Com. Abubakar : Sawa...<br />
Mr. Joseph Kiptum arap Koech : Halafu hawa wawe na nguvu zaidi...<br />
Com. Abubakar : Sawa...<br />
17