07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Com. Abubakar : Sawa<br />

Mr. Jackson Kipng’eny Chepkwony : Hata ingawaje tunasema haki, haki, haki. Mungu alijua nani ni kiongozi ya<br />

familia.<br />

Com. Abubakar : Sawa Mzee<br />

Mr. Jackson Kipng’eny Chepkwony : A man is the Head of the family.<br />

Com. Abubakar : Sawa.<br />

Mr. Jackson Kipng’eny Chepkwony : When the husband dies the widow inherits the property of the man, husband kwa<br />

hivyo wakati hii yote mali ni niya Bwana, capital letter. When the husband dies the clan sits and chose who heads the family.<br />

The clan wajue ni nani atamlimda huyu mjane ili asije akatoweka na clan na achukue mali aende inje, mpaka watu wamepotea<br />

na watoto. Recognition of every family should be know that they have Katiba na yule ambaye anaongoza hiyo Katiba kwa<br />

hiyo family is the man.<br />

Com. Abubakar : Umeshasema hiyo Mzee wangu mara tatu sasa umeniambia mpaka in capital letters.<br />

Mr. Jackson Kipng’eny Chepkwony : Iingie kabisa ndani ya kichwa.<br />

Com. Abubakar : Sawa Mzee.<br />

Mr. Jackson Kipng’eny Chepkwony : Election should not be done before we complete Katiba hata kama itachukuwa<br />

miaka kumi tumalize kwanza Katiba.<br />

Court matters should consult clan elders in areas e.g. land matters, widow matters, children matters. Mtu akipiga mtu na mkuki<br />

kwa shamba na afungwe na kwa kimila tunajua huyo mtu angelipwa ridha kwa kimila hata kufungwa hiyo hesabu inagali iko.<br />

Com. Abubakar : Sawa Mzee.<br />

Mr. Jackson Kipng’eny Chepkwony : We believe that one.<br />

Com. Abubakar : Sawa Mzee wangu. Useme mawili ya mwisho haraka.<br />

67

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!