07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Women’s Group. Maoni yangu ni hivi. Nasema kwa wajane wale wamama kama Bwana zao nakufa washemeji ndio wana<br />

sumbua yule mama ame wachwa.<br />

Com. Abubakar : Unataka je sasa<br />

Ms. Pascallia Kipkorrir Sitonei : Mimi nataka wamama wapewe mali ya Bwana yake. Hatutaki interference kwa watu<br />

wengine, kama mtu anakufa watu wanaona yule ana baki sio mtu. Lakini hiyo ni lazima achunge boma yake.<br />

Ingine ni, mimi nasema kwa Mayatima wale wazazi wao wamekufa ndio kama iko na uwezo hawa wasaidiwe, kwa sababu<br />

hakuna mtu ana angalia watoto tu peke yao lakini hakuna hawajui maelekeo.<br />

Com. Abubakar : Sawa<br />

Ms. Pascallia Kipkorrir Sitonei : Wengine ndio tunataka wazee wa kijiji wako na kazi mingi sasa kama ina wezekana<br />

apewe hata msharara ya kazi yao wanafanya.<br />

Com. Abubakar : Sawa<br />

Ms. Pascallia Kipkorrir Sitonei : Ingine ndio tunataka wale watoto wadogo wana zaa nyumbani ndio vijana ndio<br />

wanapee hawa watoto...<br />

Com. Abubakar : Dada ngoja kidogo, nilikua nimetoa sheria ya kwamba hapa haturuhusi watu kuzungumza, Mzee wangu<br />

hapo, haturuhusu kabisa mtu yeyote kuzungumza isipokuwa waliopewa ruhusa na Tume. Asanteni. Mpeni dada na fursa<br />

aseme. Asante sana.<br />

Ms. Pascallia Kipkorrir Sitonei : Nasema watoto wale wana zaa kabla kama ni wa dogo ndio vijana ndio wana patia<br />

hawa watoto, sasa wale wasichana ndio wako na taabu sana kwa kuchunga hawa watoto. Sasa huyu kijana na patia huyu<br />

msichana mtoto ndio huyu kijana ndio lazima achunge huyu mtoto wa wasichana wale wana zaa.<br />

Com. Abubakar : Sawa<br />

Ms. Pascallia Kipkorrir Sitonei : Na tena wale watoto wame zaa nyumbani na afadhali hata wapewe hata mali hata hao<br />

kwa sababu huyu msichana ndio wa yule nyumba sio vijana peke yao. Ni lazima apewe hata mali.<br />

Com. Abubakar : Sawa<br />

59

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!