12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Com. Abubakar : Mzee wangu alipo kuja hapa Mzee akasema ikifikisha miaka miwili iishe, ulikuweko?<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Nilikuweko...<br />
Com. Abubakar : Sasa si useme una-support hiyo...<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Na-support hiyo...<br />
Com. Abubakar : Basi...<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Ingine ni compensation. Kuna hii mashamba imechukuliwa na Municipal, County Council lakini<br />
walichukua zamani wakati watu walikuwa wame kamata shamba lakini haja lipia compensation. Kwa nini hapana patiwa<br />
compensation kama wame faidika na hiyo shamba<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Ingine hi kuhusu Chief. Ma-Chief nataka ku, mimi mwenyewe, mimi nataka ku elect...<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Chiefs<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Na Mzee wa kijiji alipwe pesa shauri anafanya kazi kubwa kuliko hata Chief. Kuna hawa<br />
landless, hawa ma-squatters ya kila shamba apatiwe shamba kwa hiyo shamba shauri iko watu wamekua squatters na wali kua<br />
amefanya kazi hapo kusaidia hiyo kampuni.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Ningetaka hiyo landless ipatiwe shamba, na nataka tena ile shamba ilikuwa na ibwa ya landless<br />
irudishiwe watu wale wali kua na poor.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
91