12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mr. Julius Matiguwany : And next medical services should be free, basic education that is Primary should be free.<br />
Electorates should recall their Mps in case they absent themselves in their constituencies for more than at least a month, and also<br />
councillors should always be with the people in case they absent also themselves. Minimum percentage of the electorate should<br />
sign and recall them back.<br />
Okay lastly Electoral Commission should be independent of the Office of the President.<br />
Thank you.<br />
Com. Abubakar : Asante sana Bwana Julius uende pale ujiandikishe. Bwana Peter Koech.<br />
Mr. Peter Koech : Mimi nita sema hivi nchi yetu hii inaitwa Kenya...<br />
Com. Abubakar : Unge songea karibu na mic Mzee wangu [inaudible]<br />
Mr. Peter Koech : Mimi naitwa Peter Koech.<br />
Com. Abubakar : Sawa,<br />
Mr. Peter Koech : Nchi hii yetu ambaye inaitwa Kenya, ni watu ambaye waliungana pamoja lakini hawa kuungana lakini<br />
wazungu walileta hawa pamoja na kutawala. Hakuna wakati wowote hao watu walisema tuko pamoja na tuna tengenezwa sisi<br />
wote tuko watu wa Kenya.<br />
Com. Abubakar : Unataka je Mzee?<br />
Mr. Peter Koech : Tunataka hivi. Tunataka maagizo mapya, we need a new agreement for all the tribes of this country to<br />
agree that we have today from a particular time, sisi tumekuwa Kenya. Na lazima wapewe haki sawa. Yale mashamba<br />
ambaye yalichukuliwa na wazungu iwekwe au irudishwe kwa wale ambao wali nyanganywa.<br />
Tuna taka Serikali ya majimbo halafu kila mtu atakuwa aki tawala kwake na ata linda security vile yeye anapenda. Serikali<br />
itakuwa Federal Government na Provincial Government hiyo ndio inaleta majimbo mzuri.<br />
Maneno ya mashamba ni mbaya kabisa na tunataka hii Commissioner of Lands iwe abolished na iletwe kwa District level.<br />
53