12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mr. Jackson Kipng’eno : Nimesema...<br />
Translator : Umesema orphans tayari.<br />
Mr. Jackson Kipng’eno : Okay asante. Asante asante. Hakuna mambo ingine. Asante asante<br />
Com. Abubakar : [inaudible] Mzee [inaudible] Bwana Wesley Kirui? Wesley Kirui? Bwana Wesley Kirui. Njoo<br />
tafadhali haraka kila uki jivuta vuta muda unazidi kwenda. Esther Chereng’et ajifanye awe awe tayari. Baada ya Wesley ata<br />
kuwa ni yeye. Ndio taja jina uendelee.<br />
Mr. Wesley Kirui : Basi kwa majina naitwa Wesley Kirui, ni asante sana kwa fursa huu nimepata ili nipate kutoa maoni<br />
kuhusu Katiba. Yangu kabisa ningependa kutambulisha kusema ya kwamba, sisi vijana tumekosa sana kazi hapa nchini Kenya.<br />
Hasa vijana ambao tumesha maliza shule kama sisi. Tuko tu nyumbani bila kazi...<br />
Com. Abubakar : Bwana Wesley hiyo ni stakabadhi tuna jua kwamba kuna ukosefu kwa uajiriaji wa vijana, unataka je?<br />
Mr. Wesley Kirui : Basi nataka sasa viongozi, Kenya wote waajiri vijana kama sisi kupata kazi.<br />
Com. Abubakar : Na ikiwa hakuna kazi?<br />
Mr. Wesley Kirui : Basi kama hakuna kazi ufanye juu chini utafutie kazi kama kuelimisha ama upatie yeye sehemu fulani<br />
kama kumpuni kama estate ili tupate kazi.<br />
Com. Abubakar : Sawa<br />
Mr. Wesley Kirui : Ya pili tena ningependa kusema ya kwamba free education should be there also. Kwa maana ni...<br />
Com. Abubakar : Kitu kama free education tunaelewa.<br />
Mr. Wesley Kirui : Haya ni asante, so also free treatment.<br />
Com. Abubakar : Sawa<br />
Mr. Wesley Kirui : Haya ndio matatizo yangu ambaye niko nilikuwa nayo kwa asubuhi ya leo, ni asante.<br />
30