12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
kazi ya kufanya na ongeza taabu.<br />
Ya tatu, mimi kuna shamba kidogo kidogo iko Title Deed mbona Serikali hapana pea sisi stima halafu tupate kulipia pesa<br />
kidogo kidogo mpaka deni na kwisha.<br />
Ya nne, wasichana, wasichana wetu na wasichana wetu nataka kutafutia hawa sheria ya kuwacha mtindo ya kutembea ovyo<br />
ovyo, na kuongeza marifa mbaya mbaya bila, mpaka nchi haiku kuwa ha hekima?.<br />
Na komea hapo.<br />
Com. Abubakar : Asante sana Mzee uende pale Mzee ujiandikishe, asante sana. Sasa namuita Joseph Sigilai? Bwana<br />
Joseph Sigilai? Halafu wale wengine, Eric Kerich? yuko hapa? Eric? Eric Kerich? Narudia mara ya mwisho, Eric Kerich?<br />
Wewe ni Joseph sio? Wewe ni Eric? Eric subiri pale, nimemuita Joseph Sigilai? Joseph Sigilai? Hayuko? Kwa hivyo wewe<br />
kaa hapo uta anza wewe, ngoja lakini usubiri, keti usubiri niite wengine. Wewe ni Eric. Haya. Julius Matiguwany? Julius<br />
Matiguwany? Uko? uko karibu. Wewe ndio utafuatia. Peter Koech? Peter Koech? Mzee unge kuja pale karibu ndio<br />
ukiitwa uje mara moja. Zacheaus Sang? Mukae pale karibu na Mzee. Betty Kipkorrir? Betty Kipkorrir? Dada Betty<br />
Kipkorrir? Alice Koskei? Alice Koskei? Alice mama Alice! uje pale karibu ukae chini ya mti ndio tukikuita ndio pale pale<br />
mama, pale juu. Uwe karibu. Haya kijana uanze nautaje jina nauendelee<br />
Mr. Eric Kerich : Kwa majina...<br />
Com. Abubakar : Inua kidogo...<br />
Mr. Eric Kerich : Kwa majina Eric Kerich, na mapendekezo yangu moja tuwe na boundaries, communal boundaries<br />
permanent halafu, hiyo ita reduce mambo ya tribal clashes. Hii watu wanapigana, kamawange kuwa na ma boundaries yao<br />
hawange kuwa wana pigana.<br />
Com. Abubakar : Sawa...<br />
Mr. Eric Kerich : Kwa watoto wale wana zaliwa free free mini na propose abortion iwekwe legalized halafu...<br />
Com. Abubakar : inaudible<br />
Mr. Eric Kerich : Ma-business tena makubwa, iwekwe, kwa kila ma-area wawe na hizo ma-business kwa sababu watu<br />
wote wata fanikiwa kwa kila area hizo.<br />
51