12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Ms. Pascallia Kipkorrir Sitonei : Ingine ndio tunataka democracy kama mama ana amuka kuomba kiti ni lazima apewe<br />
ruhusa sio kusema huyu ni mama hawafanyi chochote. Lazima wamama hata waongoze kwa ile sheria<br />
Com. Abubakar : [Inaudible] au watengewe viti vyao wakina mama peke yao watu wa wachague.<br />
Ms. Pascallia Kipkorir Sitonei : Watu wa wachague.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Ms. Pascallia Kipkorir Sitonei : Nafikiri na maliza hapo.<br />
Com. Abubakar : Asante sana dada uende pale usubiri huyu Bwana akimaliza na Mzee utasign yetu. Bwana Eric<br />
Chepkwony<br />
Mr. Eric Chepkwony : Kwa majina ni Eric Chepkwony yangu tu ni kugusia juu ya masomo. Nataka masomo kutoka<br />
Primary mpaka Form Four iwe free masomo.<br />
Com. Abubakar : Karibia mic<br />
Mr. Eric Chepkwony : Okay tunataka masomo iwe free kutoka Nursery mpaka Form Four kwa sababu tuna ona siku<br />
hizi<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Eric Chepkwony : Hawasomi.<br />
Maneno ya tena hospitali tunaona watu wanakufa, tupatie wananchi wawe free kwa sababu watu wanakufa tu.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Eric Chepkwony : Halafu tena mimi na ingilia ya kortini tunaona siku hizi mtu anaenda kortini miaka tatu na kesi<br />
hapana kwisha tunataka, naomba Serikali iwe kesi tunafanya mara moja. Kesi ikifanyika mtu anaenda mara mbili ama mara<br />
tatu. Kwa sababu tunaona wananchi wamepoteza pesa yao kwa kwenda kortini kila siku.<br />
60