12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mr. Jeremiah Siele : Asante sana kwa majina mimi naitwa Jeremiah Siele kutoka Kiptoo? Mapendekezo yangu ni hii.<br />
Ya kwanza nimesikia ya kwamba wazee kweli wako na kazi kwa vijiji vyao ina shinda hata ya watu wengine tafadhali patia<br />
mshahara.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Jeremiah Siele : Ya pili Constitution ikamilike kabla Election ya Parliamentary.<br />
Com. Abubakar : Sawa, unaona sasa Mzee amesema jambo ambalo halija tajwa na mtu. Ikiwa uje hapa ukiwa na jambo<br />
jipya hilo ni la nguvu kwa sababu usiende nalo nyumbani. Likiwa limetajwa tayari tumetia kwa kitabu na kwenye machine haina<br />
wasiwasi. Ikiwa una jambo jipya uanze na hilo. Asante Mzee.<br />
Mr. Jeremiah Siele : Ni hayo tu asante.<br />
Com. Abubakar : Asante sana Mzee uende pale ujiandikishe. Bwana Pius Ruto?<br />
Mr. Pius Ruto : Kwa majina mimi naitwa Pius Ruto natoka Sikowet. Mapendekezo yangu ni kuhusu wazee na wa kina<br />
mama. Mzee hana ruhusa kuuza chochote nyumbani ikiwa ni ng’ombe ama mbuzi kabla hawaja elewana na mama. Hiyo ni ya<br />
kwanza. Mzee hana ruhusa mama hana ruhusa mpaka hawa wawili wamesikilizana.<br />
Ya pili ni hii malipo ya hospitali, cost sharing iondolewe kabisa kwa mahospitali ya Serikali<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Pius Ruto : Ya tatu nafikiria hata ndugu yangu ame sema ingine, ni wazee wavijiji Serikali walipa hawa wazee<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Pius Ruto : Jambo la mwisho ni majimbo tunapendekeza majimbo. Asante sana ni hayo tu machache.<br />
Com. Abubakar : Asante sana ndugu uende pale juu ujiandikishe. Bwana Pius Bet ni zamu yako sasa. Bwana Pius Bet?<br />
Bwana Pius Bet mara ya mwisho? Hayuko. Bwana Isaiah Tanui? Bwana Isaiah, ndugu yangu wewe ulikaa hapo ulikuwa jina<br />
lako nani. Hawa ndugu wawili. Nyinyi wawili wa mbele hapa maanake. Maanake nilikuwa nasema hizo viti vya mbele na wa<br />
wekea watu nita waita wakae hapo. Nilikuwa nime waita? Murudi nyuma kidogo tu tafadhalini niwachieni hizo viti vya mbele<br />
62