07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

pengine ili kua ni nzuri, vile vile katika hiyo ndoa yao msichana mkenya na mgerumani au mtanzania akizaa watoto hao watoto<br />

wa haya hawawezi kua ni wakenya lakini kama inge kua ni mwanamume ama oa mtanzania watoto wanakua wakenya kwa<br />

urahisi. Hiyo tena inakua ni ubaguzi. Kwa mambo mengine ambayo pengine wa kina mama wame ikazia siwezi nikaingilia sana<br />

upande huo lakini sana na kaza upande wa uraia ambaye naona wanawake wetu wame fagiliwa sana. Kama mtoto tunatuma<br />

ma vijana wetu waende wakasoma ng’ambo pamoja na wavulana wengine wanaweza wakarudi wameoana na watu wa nchi<br />

zingine kama ni mvulana mtoto ana kua mkenya kama ni msichana inkua ngumu na one turekebishe sheria upande huyo. Kwa<br />

hayo machache au marefu na sema asanteni sana kwa kunisikiza. Thank you very much.<br />

Com. Ayonga : Mweshimiwa Kirui tunataka kuku shukuru sana nathani kazi yetu haingelikua complete without having<br />

your presentation. Umefika and in a very systematic way ume present your paper ambaye itakua very useful katika kazi yetu ya<br />

kurekebisha Katiba. Nakushukuru sana sana kwa kuweza kutupa hii presentation yako. Watu wako hapa wame changia sana<br />

na ume tupa presentation ambayo itatu saidia mno kwa kufanya kazi yetu ya kurekebisha Katiba. Nataka nikuhakikisha ya<br />

kwamba wakati ambapo umechora jina yako hapo presentation yako ita kuwa registered as a document ambaye itatusaidia<br />

katika kurekebisha Katiba. Na ambavyo utakua mmoja wapo ya wale ambao watakao kua katika national conference utaona<br />

kwamba mambo yako yamo na pia itatusaidia pia kwa kurekebisha Katiba. Na kushukuru sana Bwana mweshimiwa na tume<br />

kuwa na mkutano mzuri ambaye nili kua nimesha ambia watu wako hapa asubuhi kabla huja fika kwamba our meeting with<br />

your people of this constituency has been very fruitful. Na kama hakuna mengine... Nataka yule mama wetu ambaye alikua<br />

amejitolea ili aweze kutotolea maombi, mama ningelipenda sasa usimame tena [inaudible] sasa itakua ni maombi, mama alisha<br />

kua amesha sema [inaudible]<br />

Ms. Sophia Too : Itoche Kipsigis o anan itoche achon? Toche alak tuguli. Kongoi Jehovah amun saini Kakenyoru.<br />

Awekyini kongoi Mheshimiwa ne momi kit ne kerge ne ndomo saisiek che begu amun ka ng’alekab raini ko kakilitite<br />

ng’alekab ole kibetitoi en ngweny.<br />

Kongoi en ng’alek che kakosomonwech, en sobenyin, ak en tuguk tuguk ak ole kimoche kesopten Kenya.<br />

Osoe kityo, lakini nyigis muguleldanyun Kipsigisiechu; olenyigisindo muguleldonyun ko kin keget tondet koroboni<br />

koiyan kome koronon, noton ne iimon, mache agot kelenjon lianen kowendi chito en koroni? Matomwa. Asoe Jehova,<br />

kose Jehova, kose Jehovah chotoni? Mokose Jehovah. ngoja kwa nini sisi watu wa Mungu sisi nataka omba Mungu halafu<br />

nabariki sisi, si hata nchi imekauka, kiangazi namaliza sasa dunia yetu, kila siku hatu, karibu watu na taabika kwa jua kwa nini<br />

kwa maana watu hapana omba Mungu kwa amani ya Mungu kila mtu na chukua kitu na fanya namna gani namna gani halafu<br />

nasema kama na sema omba Mungu ni kidogo. Omba omba kidogo, hii kitu inasema nini. Jseu ali sena kwa siku ya hukumu<br />

kama mini na keti kiti nita gawa watu kenda upande hii na upande hii kwa maana mimi nilikuja kwako wewe na fukuza mimi,<br />

mimi nilkua mugonjwa hapana ona mimi, milikua njaa, nilikua uchi, nilikua namnagani hakupata kwenda njia yenu na hii njia<br />

yenu.<br />

Interjection: (Inaudible)<br />

126

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!