12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Joel Ng’etich : All schools in Kenya must be provided with facilities like text books<br />
Com. Ayonga : We know.<br />
Mr. Joel Ng’etich : Equally.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Joel Ng’etich : Thank you.<br />
Com. Abubakar : Mama uje haraka tafadhali.<br />
Ms. Dina Bii : Kwa majina naitwa Dina Bii.<br />
Com. Abubakar : Songea karibu na mic [inaudible] jina lako ni,<br />
Com. Ayonga : Jina<br />
Com. Abubakar : [Inaudible]<br />
Ms. Dina Bii : Kwa majina naitwa Dina Bii. My proposal ni juu ya wasichana wetu. Wasichana wetu wakienda ng’ambo<br />
waki zaa hawa kuji na watoto wao, na wanaume wakienda ng’ambo wanakuja na watoto wao. Tunataka wasichana wa<br />
Com. Abubakar : Unataka Citizenship ipwe kwa mzazi kwa ni mwanaume au mwanamke.<br />
Ms. Dina Bii : Mwanamke iwe sawa.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Ms. Dina Bii : Tena ingine ni juu ya Chief and Assistant Chief. Assistant Chief wapewe mamlaka sana kwa sababu<br />
tukienda ng’ambo mbele tunaona ma Chief na Assistant Chief wanachaguwa kwa [inaudible] sasa wapatiwe support sana<br />
kwa sababu wengine wanaweza wafutwe kazi, lakini tunataka wapatiwe nguvu zaidi.<br />
111