07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Com. Abubakar : Sawa.<br />

Mr. Joel Ng’etich : All schools in Kenya must be provided with facilities like text books<br />

Com. Ayonga : We know.<br />

Mr. Joel Ng’etich : Equally.<br />

Com. Abubakar : Sawa.<br />

Mr. Joel Ng’etich : Thank you.<br />

Com. Abubakar : Mama uje haraka tafadhali.<br />

Ms. Dina Bii : Kwa majina naitwa Dina Bii.<br />

Com. Abubakar : Songea karibu na mic [inaudible] jina lako ni,<br />

Com. Ayonga : Jina<br />

Com. Abubakar : [Inaudible]<br />

Ms. Dina Bii : Kwa majina naitwa Dina Bii. My proposal ni juu ya wasichana wetu. Wasichana wetu wakienda ng’ambo<br />

waki zaa hawa kuji na watoto wao, na wanaume wakienda ng’ambo wanakuja na watoto wao. Tunataka wasichana wa<br />

Com. Abubakar : Unataka Citizenship ipwe kwa mzazi kwa ni mwanaume au mwanamke.<br />

Ms. Dina Bii : Mwanamke iwe sawa.<br />

Com. Abubakar : Sawa.<br />

Ms. Dina Bii : Tena ingine ni juu ya Chief and Assistant Chief. Assistant Chief wapewe mamlaka sana kwa sababu<br />

tukienda ng’ambo mbele tunaona ma Chief na Assistant Chief wanachaguwa kwa [inaudible] sasa wapatiwe support sana<br />

kwa sababu wengine wanaweza wafutwe kazi, lakini tunataka wapatiwe nguvu zaidi.<br />

111

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!