07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Ms. Joyce Mutai : Wasichana wasio olewa ningependa sana kukazia kwa vile tunaona katika kijiji yetu wasichana wasio<br />

olewa wako kwa wingi. Na ningependa kukazia hio sheria ya kwamba, Serikali iangalie hao wasichana, watunzwe ili wapate<br />

nguvu nao pia hapo mbeleni wanaweza kupata kazi, ama wanaweza funzwa kazi ya mikono ama wafundishwe mambo mengi.<br />

Com. Abubakar : Sawa<br />

Ms. Joyce Mutai : Wazee wakongwe. Vile ninaonelea wazee wakongwe afadhali wa wekwe pamoja kwa sababu<br />

wengine kufaa kabla kufika wakati wao na vile ninaonelea vile ninaona wamama wakongwe ana wazee wawekewe pamoja<br />

watunzwe ili wawe na nguvu na wapate kukaa miaka nyingi.<br />

Com. Abubakar : Unataka wajengewe nyumba peke yao?<br />

Ms. Joyce Mutai : Wajengewe kama shule...<br />

Com. Abubakar : Au wapewe allowance waangaliwe kule wako?<br />

Ms. Joyce Mutai : Serikali iwatunze. Mambo ya wasichana wenye wameenda pale town ama niseme tu Malaya.<br />

Afadhali tuweke sheria ya kwamba wasichana wote wakomeshwe kwenda huko town na wafundishwe wafanye kazi fulani ili<br />

wapate, ili tupate hii mambo ya Ukimwi ikome.<br />

Asante sana<br />

Com. Abubakar : Asante sana dada uende pale juu ujiandikishe kwenye yule Bwana mwenye shirt ya blue. Asante sana.<br />

Lilly Lang’at. Utaje jina na usongee karibu kabisa na mic, karibu kabisa.<br />

Ms. Lilly Lang’at : Kwa majina ni Lilly Lang’at.<br />

Com. Abubakar : Songea karibu<br />

Ms. Lilly Lang’at : Kwa majina ni Lilly Lang’at kutoka Sikowet Women’s Group. Kwa machache nataka kusema<br />

kidogo tu yangu ni kusaidia wa group finance ili tuende kwa vijiji tu hubiri maneno ya Aids control na kusaidia watu wale iko<br />

kwa nyumbani hatoki kusikia maneno kwa hapa kwa makutano. Sasa tunaomba mikopo kwa wa kina wa mama wa Sikowet<br />

ili tutembee tufundishe wengine wako nyumbani.<br />

47

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!