12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Ms. Joyce Mutai : Wasichana wasio olewa ningependa sana kukazia kwa vile tunaona katika kijiji yetu wasichana wasio<br />
olewa wako kwa wingi. Na ningependa kukazia hio sheria ya kwamba, Serikali iangalie hao wasichana, watunzwe ili wapate<br />
nguvu nao pia hapo mbeleni wanaweza kupata kazi, ama wanaweza funzwa kazi ya mikono ama wafundishwe mambo mengi.<br />
Com. Abubakar : Sawa<br />
Ms. Joyce Mutai : Wazee wakongwe. Vile ninaonelea wazee wakongwe afadhali wa wekwe pamoja kwa sababu<br />
wengine kufaa kabla kufika wakati wao na vile ninaonelea vile ninaona wamama wakongwe ana wazee wawekewe pamoja<br />
watunzwe ili wawe na nguvu na wapate kukaa miaka nyingi.<br />
Com. Abubakar : Unataka wajengewe nyumba peke yao?<br />
Ms. Joyce Mutai : Wajengewe kama shule...<br />
Com. Abubakar : Au wapewe allowance waangaliwe kule wako?<br />
Ms. Joyce Mutai : Serikali iwatunze. Mambo ya wasichana wenye wameenda pale town ama niseme tu Malaya.<br />
Afadhali tuweke sheria ya kwamba wasichana wote wakomeshwe kwenda huko town na wafundishwe wafanye kazi fulani ili<br />
wapate, ili tupate hii mambo ya Ukimwi ikome.<br />
Asante sana<br />
Com. Abubakar : Asante sana dada uende pale juu ujiandikishe kwenye yule Bwana mwenye shirt ya blue. Asante sana.<br />
Lilly Lang’at. Utaje jina na usongee karibu kabisa na mic, karibu kabisa.<br />
Ms. Lilly Lang’at : Kwa majina ni Lilly Lang’at.<br />
Com. Abubakar : Songea karibu<br />
Ms. Lilly Lang’at : Kwa majina ni Lilly Lang’at kutoka Sikowet Women’s Group. Kwa machache nataka kusema<br />
kidogo tu yangu ni kusaidia wa group finance ili tuende kwa vijiji tu hubiri maneno ya Aids control na kusaidia watu wale iko<br />
kwa nyumbani hatoki kusikia maneno kwa hapa kwa makutano. Sasa tunaomba mikopo kwa wa kina wa mama wa Sikowet<br />
ili tutembee tufundishe wengine wako nyumbani.<br />
47