12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mr. Edward arap George : Ya pili ni na unga mkono kuandikwa kwa mwalimu ya Nursery na Tsc wasiwache nyuma...<br />
Com. Abubakar : Tumeelewa.<br />
Com. Ayonga : Na ulisema ni neno ni moja.<br />
Mr. Edward arap George : Iko moja tu.<br />
Com. Abubakar : Ya mwisho.<br />
Mr. Edward arap George : Ya mwisho ilikua, nimesahau kidogo, ngoja...<br />
Com. Abubakar : Hawa wamejiandikisha saa hii wamekuja sasa hivi. Ehe!<br />
Speaker : [inaudible]<br />
Com. Abubakar : Siulizi wewe nauliza hao watu, kwa nini hawataki kuitikia.<br />
Mr. Edward arap George : Ya mwisho kabisa nimeonelea mimi mwenyewe education hii inasemekana ni free kutoka<br />
Primary School imekua ni ngumu kua free.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Edward arap George : Hata nilikua naomba ilipwe. Halafu Secondary school mpaka university iwe free.<br />
Com. Abubakar : Sawa<br />
Com. Ayonga : Enda ujiandikishe<br />
Com. Abubakar : Nataka nijue tu hawa watu ni nani? Moses Ruto? Mwangi Edward? Ng’eno Charles? Rono Wilson?<br />
Rono Wilson? Joel Ng’etich? Dina Bayo? Sasa mimi Nikiita watu watoe maoni wanakataa halafu nikisema ndio ya mwisho<br />
ndio munasema munataka ku sema. Mumekuja saa hii. Haya muje mukae kwenye hii viti vile na ita watu. Aje Moses Ruto kiti<br />
cha karibu na mic. Mwangi Edward, Ng’eno Charles, Rono Wilson, Joel Ng’etich, Dina Bayo, Francis Tanui, Jonathan Kirwa,<br />
wakae kulingana na line hiyo.<br />
107