12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Translator : Those are my suggestions.<br />
Com. Abubakar : Haya mtu wa mwisho kuzungumza akuje utaje jina [inaudible] Mzee, kijana uende kujuandikishe kule<br />
[inaudible].<br />
Mr. Charles Lang’at Tonui : Mimi naitwa Charles Lang’at Tonui mkenya. Maoni yangu ya kwanza ili tuondoe mambo<br />
ya anti-corruption lazima tuwe na office ya Ombudsman.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Charles Lang’at Tonui : Ya pili. Land Commission lazima iwe established kwa sababu information hatuna<br />
information mzuri, lazima tuwe transparent kwa hii mambo ya lands.<br />
Mpaka sasa sisi hatuna ofisi ya ma-Sub-Chief na lazima inaendelea na mambo ya shamba. Kwa sababu Sub-Chief ni mtu wa<br />
Serikali na lazima awe na ofisi yake na information yote ya shamba. We must be very transparent.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Charles Lang’at Tonui : You see. Ya tatu. Ofisi ingine mimi na sahau ni ya Mp. Kwa sababu, kwa nini mimi ni<br />
mkenya na mimi na pigia yeye kura na amesha ingia Parliament lazima awe na ofisi halafu sisi tuwe na access ya information<br />
yote. Tunasikia saa ingine mambo ya airways inauzwa, hii mambo ya companies inauzwa na hatuna information ya kwa<br />
wananchi.<br />
Com. Abubakar : Make you point.<br />
Mr. Charles Lang’at Tonui : Lazima tuwe na ofisi ya Mp.<br />
Com. Abubakar : Tumeelewa.<br />
Mr. Charles Lang’at Tonui : Ya tatu ni mambo ya majimbo. Hii mambo ya majimbo we are aware of the poverty in the<br />
country so we must have a proper organization. We should share the national resources equally. Tunaweza tuma watoto<br />
wasome free na hatuna mambo ya resources. Sasa lazima tuwe na majimbo na tuendelee mzuri.<br />
Com. Abubakar : Asante sana Mzee. Nilipo kua niki kuuliza ulikuwa wapi?<br />
105