07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Com. Abubakar : Hayo maandishi ninayaona hapo mikononi?<br />

Mr. Francis arap Koech : Nitasoma tu kidogo..<br />

Com. Abubakar : Chagua yale muhimu utuambie...<br />

Mr. Francis arap Koech : Basi...<br />

Com. Abubakar : Sawa<br />

Mr. Francis arap Koech : Kwanza ni naunga ule ambayo inasema Kenyans lazima kua kila mtu apate land ya 10 acres<br />

Com. Abubakar : Sawa<br />

Mr. Francis arap Koech : Kila mtu.<br />

Com. Abubakar : Kila mkenya<br />

Mr. Francis arap Koech : Kila mkenya.<br />

Adc farm lazima igawanywe itolewe si ya ku kaa bure. Adc farms.<br />

Com. Abubakar : Sawa. Na wapewe nani?<br />

Mr. Francis arap Koech : Ipewe Kenyans.<br />

Com. Abubakar : Hata ukiwa unakaa Lamu upewe Adc farm?<br />

Mr. Francis arap Koech : Hiyo Lamu, hiyo land ipewe wala ambao wako...<br />

Com. Abubakar : Ambao wako karibu na hiyo...<br />

Mr. Francis arap Koech : Awe karibu na Adc farm hiyo.<br />

98

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!