12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Com. Abubakar : Hayo maandishi ninayaona hapo mikononi?<br />
Mr. Francis arap Koech : Nitasoma tu kidogo..<br />
Com. Abubakar : Chagua yale muhimu utuambie...<br />
Mr. Francis arap Koech : Basi...<br />
Com. Abubakar : Sawa<br />
Mr. Francis arap Koech : Kwanza ni naunga ule ambayo inasema Kenyans lazima kua kila mtu apate land ya 10 acres<br />
Com. Abubakar : Sawa<br />
Mr. Francis arap Koech : Kila mtu.<br />
Com. Abubakar : Kila mkenya<br />
Mr. Francis arap Koech : Kila mkenya.<br />
Adc farm lazima igawanywe itolewe si ya ku kaa bure. Adc farms.<br />
Com. Abubakar : Sawa. Na wapewe nani?<br />
Mr. Francis arap Koech : Ipewe Kenyans.<br />
Com. Abubakar : Hata ukiwa unakaa Lamu upewe Adc farm?<br />
Mr. Francis arap Koech : Hiyo Lamu, hiyo land ipewe wala ambao wako...<br />
Com. Abubakar : Ambao wako karibu na hiyo...<br />
Mr. Francis arap Koech : Awe karibu na Adc farm hiyo.<br />
98