07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

ambaye anaweza kusimamia mambo ya corruption lakini sio Kenya Police and Anti-Corruption Unit.<br />

Com. Abubakar : Sawa<br />

Mr. Fred Ng’eno : Nafikiri ni hiyo tu.<br />

Com. Abubakar : Asante sana Bwana Ng’eno uende ujiandikishe pale. Bwana Benjamin Mutai.<br />

Mr. Benjamin Mutai : Asante sana ma-Commissioners mimi ni Benjamin Mutai Diwani kutoka upande wa Kiptere.<br />

Ningependa kutoa pendekezo kwa ma-Commissioners wa sheria na la kwanza, ningependa kutaja mambo husu soko huru ama<br />

liberalization ningependa kusema liberalization inge kuwa kwa kiasi fulani kwa yale vitu ambaye hayako katika upande wetu.<br />

Na la pili ningependa tena kusema sheria hainge bagua watu wengine, kwa kuwa wakati huu uwa wana ubaguzi wakati<br />

mwingine katika sehemu za masomo. Facilities uwa upande mwingine nazidi upande mwingine wengine wakati wengine hawana<br />

facilities za kutosha, hata wakati wa kuandikisha mashule, upande mwingine wanahitajika kuwa na acre tano na wengine<br />

wanasomea hata juu ya gorofa, na hawana mashamba ya ku kimbilia kimbilia.<br />

Na la pili ama la kumalizia, ningependa kusema makanisa wangepewa uhuru wa kuabudu na vile mwenzangu alikuwa amesema<br />

uhuru kuabudu Mungu sio kuabudu Sheitani.<br />

Com. Abubakar : Sawa<br />

Mr. Benjamin Mutai : Naweza kusema tu ni hayo machache tu.<br />

Com. Abubakar : Asante sana Councillor tafadhali ujiandikishe pale kwamba umetoa maoni na hiyo memorandum<br />

utuwachie. Asante Sana. Rael Mirgor? Rael Mirgor? Rael Mirgor mara ya mwisho. Sasa nitaita majina, Fanice<br />

Chepkwony? Dada kiasi anakuja nataka Joyce Mutai, Lilly Lang’at, Samuel Koech, na Bernard Cheruiyot wajitayarishe.<br />

Ngoja ngoja ngoja dada. Joyce Mutai yuko? Uko wapi? Uko hapa. Lilly Lang’at njoo huku dada ukae hapa karibu na hichi<br />

kiti cha hapo. Samuel Koech? Samuel Koech? Samuel Koech hayuko. Bernard, Doctor Rotich Joseph ukae hapa karibu<br />

tafadhali, Bernard Cheruiyot? Bernard Cheruiyot? Hayuko? Bernard hayuko. Retired Chief Ezekiel Tanui? Uko? Uko<br />

karibu, asante sana. Dada endelea.<br />

Ms. Fanice Chepkwony : Okay<br />

Com. Abubakar : Songea karibu na mic kabisa uinue kidogo, inue juu kidogo.<br />

45

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!