07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Com. Abubakar : Sawa.<br />

Mr. Isaac Tanui : but not stay idle. Okay another one is the Kangaroo Courts we see in Police stations and Chief<br />

offices...<br />

Com. Abubakar : What do you want?<br />

Mr. Isaac Tanui : I don’t want corporal punishment in Chiefs..<br />

Com. Abubakar : You don’t want any judicial processes where there are no courts.<br />

Mr. Isaac Tanui : Yes<br />

Com. Abubakar : Sawa.<br />

Mr. Isaac Tanui : That is all.<br />

Com. Abubakar : Uende pale ujiandikishe asante sana. Bwana Jackson Chepkwony. Pengine watu wamekuja late<br />

hawaelewi pengine maneno nilikuwa na sema mimi. Sisi habari ya matatizo na historia tunajua, geographia tunajua,<br />

environmental issues tunajua kitu tunataka ni proposals zako. Kitu kitaingia kwenye Katiba tutafikiria kuingiza kwenye Katiba<br />

ni mapendekezo yako kama mkenya tufanye vipi, sio matatizo. Tuta tatua vipi hayo matatizo. Asante Bwana Chepkwony ni<br />

zamu yako.<br />

Mr. Jackson Kipng’eny Chepkwony : Asante sana Bwana Commissioner kwa hii Tume tungependa ya kwamba kila<br />

kabila kila tribe [inaudible] Jackson Kipng’eny Chepkwony. Ya kwamba culture ya kila kabila ifadhiwe na sheria.<br />

Ya pili mother tongue ifundishwe kwa shule.<br />

Ya tatu Katiba the new Katiba be part of the subjects syllabus in Primary Schools and Secondary Schools.<br />

Ya nne tunahitaji majimbo kabisa. Unaona nchi zingine kama Ugerumani, United States, Nigeria na nchi zingine wame endelea<br />

na majimbo.<br />

Com. Abubakar : Sawa.<br />

65

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!