12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Isaac Tanui : but not stay idle. Okay another one is the Kangaroo Courts we see in Police stations and Chief<br />
offices...<br />
Com. Abubakar : What do you want?<br />
Mr. Isaac Tanui : I don’t want corporal punishment in Chiefs..<br />
Com. Abubakar : You don’t want any judicial processes where there are no courts.<br />
Mr. Isaac Tanui : Yes<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Isaac Tanui : That is all.<br />
Com. Abubakar : Uende pale ujiandikishe asante sana. Bwana Jackson Chepkwony. Pengine watu wamekuja late<br />
hawaelewi pengine maneno nilikuwa na sema mimi. Sisi habari ya matatizo na historia tunajua, geographia tunajua,<br />
environmental issues tunajua kitu tunataka ni proposals zako. Kitu kitaingia kwenye Katiba tutafikiria kuingiza kwenye Katiba<br />
ni mapendekezo yako kama mkenya tufanye vipi, sio matatizo. Tuta tatua vipi hayo matatizo. Asante Bwana Chepkwony ni<br />
zamu yako.<br />
Mr. Jackson Kipng’eny Chepkwony : Asante sana Bwana Commissioner kwa hii Tume tungependa ya kwamba kila<br />
kabila kila tribe [inaudible] Jackson Kipng’eny Chepkwony. Ya kwamba culture ya kila kabila ifadhiwe na sheria.<br />
Ya pili mother tongue ifundishwe kwa shule.<br />
Ya tatu Katiba the new Katiba be part of the subjects syllabus in Primary Schools and Secondary Schools.<br />
Ya nne tunahitaji majimbo kabisa. Unaona nchi zingine kama Ugerumani, United States, Nigeria na nchi zingine wame endelea<br />
na majimbo.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
65