12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Mr. Jeremiah Misich : Bas, ingoyam kou noton.<br />
Translator : Hiyo inatosha.<br />
Com. Abubakar : Asante sana Mzee kongoi? Uende kule Mzee kule ujiandikishe pale juu. Anaye mufuatia aje. Bwana<br />
Francis Cheruiyot. Aje. Nyinyi mumejipanga kwa hiyo line ukiona mwenzako ametoka unakuja. Si Mzee ni Francis baada ya<br />
Francis ni Alfred sio? Ukiona ametoka ameenda kule wewe unakuja mara moja. Endelea.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Kwa majina langu ni Francis Cheruiyot kutoka Sosiyo?<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Maoni yangu...<br />
Com. Abubakar : Ngoja Bwana Francis. Hebu hiyo amri nairudishia tena Mzee huku, Mzee mwenye kofia, naomba<br />
hapo upawe [inaudible] vizuri hapo tafadhali. Asante Mzee wangu.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Maoni yangu ni kuhusu banks. Kuna hii banks ya Kericho yote wakati wamepata accumulated<br />
money wanachukua mpaka Central Bank yao, ningetaka hiyo pesa iwekwe Kericho as loan halafu unadevelop every District<br />
apate hiyo loan<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Apate hiyo loan naku...<br />
Com. Abubakar : Ya bank peke yake au ni kampuni zote unataka hiyo.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Kampuni si hivyo ma kampuni the banks ma-banks.<br />
Com. Abubakar : Sawa.<br />
Mr. Francis Cheruiyot : Maoni ingine yangu kuna mabibi wameolewa lakini wakati wamekosana na mtu unaweza enda,<br />
wakati wanataka rudisha wanakataa, na anaweza kataa mpaka miaka tano miaka sita na hiyo ningetaka hiyo iwe automatic<br />
divorce.<br />
90