07.12.2012 Views

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

12TH JULY 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Mr. Jeremiah Misich : Bas, ingoyam kou noton.<br />

Translator : Hiyo inatosha.<br />

Com. Abubakar : Asante sana Mzee kongoi? Uende kule Mzee kule ujiandikishe pale juu. Anaye mufuatia aje. Bwana<br />

Francis Cheruiyot. Aje. Nyinyi mumejipanga kwa hiyo line ukiona mwenzako ametoka unakuja. Si Mzee ni Francis baada ya<br />

Francis ni Alfred sio? Ukiona ametoka ameenda kule wewe unakuja mara moja. Endelea.<br />

Mr. Francis Cheruiyot : Kwa majina langu ni Francis Cheruiyot kutoka Sosiyo?<br />

Com. Abubakar : Sawa.<br />

Mr. Francis Cheruiyot : Maoni yangu...<br />

Com. Abubakar : Ngoja Bwana Francis. Hebu hiyo amri nairudishia tena Mzee huku, Mzee mwenye kofia, naomba<br />

hapo upawe [inaudible] vizuri hapo tafadhali. Asante Mzee wangu.<br />

Mr. Francis Cheruiyot : Maoni yangu ni kuhusu banks. Kuna hii banks ya Kericho yote wakati wamepata accumulated<br />

money wanachukua mpaka Central Bank yao, ningetaka hiyo pesa iwekwe Kericho as loan halafu unadevelop every District<br />

apate hiyo loan<br />

Com. Abubakar : Sawa.<br />

Mr. Francis Cheruiyot : Apate hiyo loan naku...<br />

Com. Abubakar : Ya bank peke yake au ni kampuni zote unataka hiyo.<br />

Mr. Francis Cheruiyot : Kampuni si hivyo ma kampuni the banks ma-banks.<br />

Com. Abubakar : Sawa.<br />

Mr. Francis Cheruiyot : Maoni ingine yangu kuna mabibi wameolewa lakini wakati wamekosana na mtu unaweza enda,<br />

wakati wanataka rudisha wanakataa, na anaweza kataa mpaka miaka tano miaka sita na hiyo ningetaka hiyo iwe automatic<br />

divorce.<br />

90

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!