12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
12TH JULY 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mr. Kennedy Nyakundi : Mimi najua ni kweli ni shida lakini nataka sisi tutatue yenyewe...<br />
[inaudible]<br />
Mr. Kennedy Nyakundi : Si ndio nataka kwamba wamama wenyewe hata hao wapatiwe nafasi, hata vijana hata hao<br />
wapatiwe nafasi.<br />
Ya pili education. Education nataka system ya zamani and it should be free.<br />
Another thing is that unakuta ndio, tuko na taabu mingi, tunajua kwamba Kenya iko na, uchumi ni mbaya lakini tujaribu sisi<br />
wenyewe tujitatulie wenyewe. Na kwa hivyo mimi najua hata kama tuna lia hakuna uchumi ni mbaya lakini wale wenye wali<br />
fanya mambo ya ufadhili kuiba pesa wachukuliwe hatua kali.<br />
[inaudible]<br />
Mr. Kennedy Nyakundi : Kufungwa, hata ile mali wali iba warudishe ili hata sisi tujikokote. Kuliko kukaa tu idle... Ehe!<br />
Haya basi tena ya pili yenye mimi naona, wenye hawafanyi kazi, wenye hawafanyi kazi ambao wame kaa... unaweza patia muda<br />
ya... nataka Serikali yenye inakuja ione ya kwamba, muda tuna patia mtu muda, unaambiwa tume kupatia kazi, fanya muda kwa<br />
miaka kumi utoke mwengine aingie.<br />
Ya mwisho tena ni...<br />
[inaudible]<br />
Mr. Kennedy Nyakundi : Hapana, si niko na... Haya freedom of worship. Worship unaona kwamba kuna kiwango.<br />
Tunataka kusema madini fulani, lakini dini ya mambo ya masheitani out. Devil worshippers out.<br />
Com. Abubakar : Asante sana<br />
Mr. Kennedy Nyakundi : Sawa<br />
Com. Abubakar : Asante sana, Bwana nani Oluoch msaidie hapa. Asante sana Bwana Kennedy uende pale ujiandikishe<br />
kwenye ile meza pale. Asante Kennedy. Sasa Bwana Philemon Kireni? Bwana Philemon Kireni? Karibu Bwana.<br />
[inaudible] because of the list... kama unaweza kumuteremushia tena hiyo kidogo. Bwana Kireni subiri kidogo. Kaa tu<br />
24